Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,536
- 3,883
Liverpool ilikua haishindanii rekodi ya kutofungwa
Liverpool inagombania kombe
Waacheni msiwajibu kitu wana hasira sana
Hii team imewaprove wrong muda mrefu
And that is how humans acts generally
Love you all lfc fans
Win or loss we are together
Ynwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee jamaa upo?Poleni sana Loserfools ndio EPL hiyo jaribuni tena next year bado mpo vizuri kiduchu. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Sio ishu ya plastics fan. Ila kati hakuna kitu no tackling kabisa. Wapinzani wanapita kama wanatembea bustanini. Na vyote hivyo vya alikuwa anafanya hendo sema kama kawaida yenu mnasemaga ooh hakuna kitu anafanya. Na mpk arudi tutakuwa tumeshazalilishwa vya kutosha.
Next chelsea FA...
Mwacheni HENDO aitwe hendo.
Ile 2014 alivyopewa red mechi ya city....next game vs chelsea tukatepeta mpk gerrald akateleza..
Mechi ya ATM inabidi kloop ampige sindano la sivyo tunakula 2 kavu
Sent using Jamii Forums mobile app
You can go to win your first Premier League but remember there is only one INVINCIBLEs. Y'all need to put the respect on our name. Liverpool couldn't even go 49 games unbeaten. Still on Arsenal shadows.
King Ngwaba mchambuzi bora tupe neno kuhusu hendo.
Huyu si mchambuzi
Ni mtu wa matukio
Ye hungoja kuangalia assist na goals ndo aamin
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa uko so obsessed na Ngwaba.
Yani huyo jamaa sijui shida ni nini! Nashindwa kuelewa.
Na cha ajabu Mimi hata simquote wala simjadili lakini yeye haridhiki kama hajanitaja.
Au anahisi hapa tunagombania umaarufu?
Nadhani afahamu kuwa JF mimi sijuilikani nyuzi yoyote isipokuwa Nyuzi hizi za Michezo.
Kwenye Nyuzi nyengine hata hawajuwi kama kuna Mtu anaitwa King Ngwaba.
Basi na aende tu huko kwenye nyuzi nyengie akajitangaze awe maarufu.
Huyu mbona kama kocha Wa simba!?Invincible LiverpoolView attachment 1373112
29/2/2020
Hivi mwakani itakuwepo hii,ili tufanye kumbukizi za tundu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubingwa upo bila shaka.nakubaliana na wanasosema LFC ilikuwa haina fikra ya kutofungwa japo wachezaji walikuja kuwa nayo sabababu media bdio wenye kuongea hayo zaidi, mpaka wachezaji wa LFC wanaweza kuwa wakawa nayo ndomana walikuwa wanacheza pasi za taratibu, ila mashabiki wa LFC wanafikiria kombe zaidi, sasa ile kutofungwa imetoka moto unaokuja wa wachezaji kucheza kwa kasi utakuwa mzuri game tatu mfululizo ushindi muhimu na utakuja kila game sio chini ya goli mbili mtaona wenyewe kama sio ubingwa Manchester basi baada ya game ya Man City ubingwa upo. na isipokuwa hivyo siwi mshabiki tena wa mpira Ubingwa upo palepale roho zitawauma tu ubingwa upo palepale. bora wajigambe Watford ba Point tatu kuliko Man U wangejigamba na point 1.