Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Mkuu yule jamaa alikurupuka tu kucomment na hajui ya kwamba ngono ni zawadi ya Mungu kwa wanandoa na walio nje ya ndoa hawana ruhusa ya kutenda, sasa liverpool ya sasa hivi kushinda ni kawaida tu ni kama ngono kwa wanandoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Dadeki! Kumbe ndiyomana Timu zote zimetuchukia kupita kiasi pale tunapobeba Kembe 😀😀😀
Yani kushiba mwaka huu basi majibu yetu humu unawezajibiwa kuhama nchi
Sent using Jamii Forums mobile app