Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hendo for Ballon O’dor
Hendo atachukua EPL player of the year
Hendo ananyanyua kwapa la EPL!
Sisi Liverpool HALISI we love you Hendo


Sent from my iPhone using JamiiForums
Kaka naona utachinja Ng'ombe 30 mwaka huu. Hongereni
 
Liverfools. The worst champions to be in the history of Epl and football timu yenu ni mbovu haina mvuto maningwa wa ngekewa.
Football analysts wanaojielewa wanasema msimu huu ligi ya uingereza imekua mbovu katika misimu yote tokea ianzishwe and the funny thing a team so called chickens of the city are going to be champions in the worst seasons of the EPL. Hamuoni aibi hata kushangilia ubingwa msimu huu wakati wanaume zenu Manutd na Chelsea, Arsenal tupo kwenye transitional period. Yaani hata ubingwa wenu haunogi in short hauvutii.
Liverfools eti now mnasema Henderson for balon dor hii ngekewa imewafanya mjione mmeyapatia maisha sana.

#chukueni ubingwa ila mabwana zenu ni Manutd the red devils. Mabingwa wa kihistoria ndo sisi NYIE UBINGWA WENU HAUNA MVUTO NI NGEKEWA TU HII TUMEWAPA MAANA MMESOTA SANA .
GHMU
Sawa

Hiv unajua kua tangu marefa wenu akina WEB wastafu urefa hamjachukua EPL na hamtochukua kwa sasa hesabuni miaka 50
 
Mkuu Keita ni hajakaa sawa ,au umesahau katoka injury juzi tu?? t hiv unafikir kuna kiungo fundi pale LFC kama Keita?

Kitu ambacho unatakiwa kukielewa ni kwamba Keita ni threat ya garasha letu lile. Kwa hiyo ikitokea akawa na game mbovu utasikia kelele zinazopigwa humu.

Ila Keita ni machine, mpira anaujua kwa kufundishwa, uzoefu na kipaji.

Hauzwi kokote, na muda ukifika namba ya Henderson ataichukua.
 
Nakubaliana na ww kabisa mkuu
Kitu ambacho unatakiwa kukielewa ni kwamba Keita ni threat ya garasha letu lile. Kwa hiyo ikitokea akawa na game mbovu utasikia kelele zinazopigwa humu.

Ila Keita ni machine, mpira anaujua kwa kufundishwa, uzoefu na kipaji.

Hauzwi kokote, na muda ukifika namba ya Henderson ataichukua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baada ya ushindi wetu vs hammers tumefikisha mechi ngapi bila kupoteza?

ila mimi kombe tu linatosha, sita huzunika tukikosa rekodi
Kwenye jamii mitazamo lazima itofautiane.

Kila mmoja ana jinsi yake ya kuona na kutafakari jambo.

Binafsi naombea Henderson apone na aendelee kuwa na kiwango alichokienesha since December 2019. Ninamhitaji sana kwenye hii run ya unbeaten 49.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7813.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu hii forum ina mambo mengi sana

Kuna watu humu wana ID zaidi ya moja, nyingine anatumia kuji-support mawazo yake

Kuna watu humu ni zaidi ya kuwa nyuma ya keyboard Kwa maana wanafahamina vema kabisa kwenye maisha halisi

Watu hatuwezi kufanana mawazo hata hao unaoona wana-support-iana kuna baadhi ya mawazo hawakubaliani

Makundi huwa yana sababu zake muhimu, na wewe unaweza jichagulia kundi ama ukawa neutral

Life is too short chief, without critics/challenge forum ingekuwa boring place

All in all kuita mawazo ya mwenzio 'upuuzi' not cool
Noted and thanks chief...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom