Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_7814.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Lazima tukumbuke kuwa Westham walikuwa ni Relegator
Hivyo walikuwa na kila sababu ya kuwa piga uwa lakini wafight till the end
Could have enjoyed more ingekua yule babu Pellegrin ndio bado kocha wao...

I remember last season walitukazia sare na alivyoulizwa akasema angependa kuona ubingwa unakwenda kwa mwajiri wake wa zamani Sheikh Mansoor...

YNWA
 
Wewe ndo hujui na wala uelewi chochote, unakurupuka tu, Ngono ni zawadi ya aliyo itoa kwa wanandoa, kasome hata vitabu vya dini

Sent using Jamii Forums mobile app

Dadeki! Kumbe ndiyomana Timu zote zimetuchukia kupita kiasi pale tunapobeba Kombe 😀😀😀
Yani kushiba mwaka huu basi majibu yetu humu unawezajibiwa ukahama nchi
 
Link ili
Sio bure una lako jambo, why unataka pm na sio public?
iliwekwa humu humu public watu wakajiunga kwenye group lakini ustaarabu ukawa hakuna wakaanza kuleta mizaha na kejeli nyingi halafu lile group hatujaadili wala hatufanyi uchambuzi wa mpira tunapanga mipango ya kusheherekea ubingwa wa EPL, anyway kama ni ngunu kutoa namba yako na yawezekana hauna imani na mimi acha tu. Lakini wapo wengi ambao tayari wamejiunga na group na wanajua nini kinachoendelea.
 
Liverfools. The worst champions to be in the history of Epl and football timu yenu ni mbovu haina mvuto maningwa wa ngekewa.
Football analysts wanaojielewa wanasema msimu huu ligi ya uingereza imekua mbovu katika misimu yote tokea ianzishwe and the funny thing a team so called chickens of the city are going to be champions in the worst seasons of the EPL. Hamuoni aibi hata kushangilia ubingwa msimu huu wakati wanaume zenu Manutd na Chelsea, Arsenal tupo kwenye transitional period. Yaani hata ubingwa wenu haunogi in short hauvutii.
Liverfools eti now mnasema Henderson for balon dor hii ngekewa imewafanya mjione mmeyapatia maisha sana.

#chukueni ubingwa ila mabwana zenu ni Manutd the red devils. Mabingwa wa kihistoria ndo sisi NYIE UBINGWA WENU HAUNA MVUTO NI NGEKEWA TU HII TUMEWAPA MAANA MMESOTA SANA .
GHMU
Hadi huko UEFA tulikobeba wote walikuwa kwenye transition? na kwani sisi ndo tulikuweka huko kwenye transition? Kwahyo tusishinde sbb wewe upo kwenye transition? Tukungoje au sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Liverfools. The worst champions to be in the history of Epl and football timu yenu ni mbovu haina mvuto maningwa wa ngekewa.
Football analysts wanaojielewa wanasema msimu huu ligi ya uingereza imekua mbovu katika misimu yote tokea ianzishwe and the funny thing a team so called chickens of the city are going to be champions in the worst seasons of the EPL. Hamuoni aibi hata kushangilia ubingwa msimu huu wakati wanaume zenu Manutd na Chelsea, Arsenal tupo kwenye transitional period. Yaani hata ubingwa wenu haunogi in short hauvutii.
Liverfools eti now mnasema Henderson for balon dor hii ngekewa imewafanya mjione mmeyapatia maisha sana.

#chukueni ubingwa ila mabwana zenu ni Manutd the red devils. Mabingwa wa kihistoria ndo sisi NYIE UBINGWA WENU HAUNA MVUTO NI NGEKEWA TU HII TUMEWAPA MAANA MMESOTA SANA .
GHMU

daaah mkuu polee sana naona unaumia sanaaa ila kawaida iyo
Sijajua kwann wenzetu Man u ambao hamshindi kwa bahati tumewapita point zaid ya 30
 
One thing that standing out above all is when you are Champions elect playing sweetly ain't in the ingredients rather grinding result whatsoever way necessary...

Last two seasons we were playing eye catching sweet candy football and we didn't win the most sort by us Red men...

Come this season we have seen there ain't that sweet delicious flow game and yet time after time we are winning in very unorthodox ways...

YNWA
 
Keita aje achukue namba ya captain hendo???? Kwa mpira upi alionao kumzidi hendo?
Kwanza naby kukaba tu kwenyewe hajui aisee mtake radhi captain wangu PFA Player of the year
Kitu ambacho unatakiwa kukielewa ni kwamba Keita ni threat ya garasha letu lile. Kwa hiyo ikitokea akawa na game mbovu utasikia kelele zinazopigwa humu.

Ila Keita ni machine, mpira anaujua kwa kufundishwa, uzoefu na kipaji.

Hauzwi kokote, na muda ukifika namba ya Henderson ataichukua.
 
Unapokutana na Timu zinapombana for survival mechi huwa ngumu mno.

Sent using Jamii Forums mobile app

Binafsi sioni kama game ilikuwa ngumu.

Ni kwamba tuli relax, kwa sababu baada ya kufungwa goli la pili tulilitafuta goli kama hatuna akili timamu.

Imagine kama tungecheza kwa mwendo ule wa kipindi cha kutafuta magoli ingekuwaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom