MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,618
Hii ni Liverpool au utoporo?Watu wanaichukulia liverpool team ya kitoto sana
Wataandika wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni Liverpool au utoporo?Watu wanaichukulia liverpool team ya kitoto sana
Wataandika wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
sikiliza wewe simeone ndio mtaalam.Mmekuja sasa baada ya kupotea kwa miezi mingi
Tunavyopiga nyumbu kina city barca muwe mnakuja pia kutupongeza
Nyumbu jike nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
WamejaaWale wale walikuja hapa kucheka baada ya Liverpool kufungwa 3 kwa 0 na Barcelona ndiyo walewale wanaokuja leo kufurahia Liverpool kufungwa 1 - 0 na Atletico.
Nakumbusha tu kuwa Liverpool hafungwi Anfield.
Hata hivyo Liverpool anaweza kutolewa Anfield.
Katika Soccer hakuna kitu undefeatable
Nlchogundua liverpool ni best team now in this worldWale wale walikuja hapa kucheka baada ya Liverpool kufungwa 3 kwa 0 na Barcelona ndiyo walewale wanaokuja leo kufurahia Liverpool kufungwa 1 - 0 na Atletico.
Nakumbusha tu kuwa Liverpool hafungwi Anfield.
Hata hivyo Liverpool anaweza kutolewa Anfield.
Katika Soccer hakuna kitu undefeatable
chief, nitakutafuta mwezi June ili tupige hesabu za mavuno ya mwisho wa msimu!Diego huwa hapaki, huwa anacheza open game, tayari keshatoboa tundu lililoshinda timu kadhaa, records za clean sheets na sijui number of unbeaten games mwisho wake ulikuwa jana, tena mmeweka record mpya tokea vita vya pili vya dunia kwa kumaliza game bila shot on target.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeitia fedheha EPLMmekuja sasa baada ya kupotea kwa miezi mingi
Tunavyopiga nyumbu kina city barca muwe mnakuja pia kutupongeza
Nyumbu jike nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Nltoka zero on target na napoli piaUmeitia fedheha EPL
Umechezea kichapo kwa watoto wa Spain na kutoka na shot on target Zero!
Mmekuja sasa baada ya kupotea kwa miezi mingi
Tunavyopiga nyumbu kina city barca muwe mnakuja pia kutupongeza
Nyumbu jike nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya maneno unaandika ukiwa na akili timamu kabisa au ni mwanao umemoa ashike simu a write hizi wordsKweli EPL ni nyanya tu kwasasa maana bingwa wetu ndio huyu hata on target moja hapigi dah....
R.I.P ligi yangu pendwa EPL
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaa mimi nina roho ngumu haswaaaa..na sipo hapa kwa ajili ya jana tu mimi nipo hapa masika na kiangazi
Sent using Jamii Forums mobile app
acha umbea sisi ndio wataalam.Haya maneno unaandika ukiwa na akili timamu kabisa au ni mwanao umemoa ashike simu a write hizi words
Sent using Jamii Forums mobile app
Napoli alikukaanga pia.
Sikiliza huu utoporo.Goli moja wameanza story ya ooh liverpool team mbovu
Nlchogundua ni kwamba boys wame set standards kubwa sana
Hata mimi nakumbuka wayback secondary kila mtihani nlkua nachapa nyumbu hata harufu hunisogelei sio kiswahili sio hesabu sio fizikia wala kemia utafurahi tu na roho yako
Mock the same kimbiza nyumbu mkoa mzima
Sasa kukawa na kitest sijui wanaviita vimitihani vya kujiandaa na necta bwana we si nkazngua nkawa mtu wa sita huko
Dah waliongea hadi wale nliokuwa nawafundisha wakaanza kunisema na sikuwahi kujisifu kwa mtu kwmba sijui nafaulu wala nini
That is what kina happen kwetu now
Tuishi nao tuwazoee watakuja sana humu ingawa sisi nyuzi zao hatuendi
Sijagusa mimi nyuzi ya chelsea kuwaponda ila cha ajabu kuna shabiki wa chelsea nmemwona humu anaiponda liva na ana bayern next week
Mshabiki wa chelsea na yeye anakuja humu kubishana na wana liva
Team ipo nafasi ya kumi
Utoto ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni story tu kama zilivyo story zingine tu,hakuna evidence yeyote ya ulichokiandika hapa,mtu yeyote anaweza kujisifia kama ulivyojisifia wewe,acha utoto ongelea soka hasa game la jana,mambo ya Shule peleka huko huko shuleni kwenu.Goli moja wameanza story ya ooh liverpool team mbovu
Nlchogundua ni kwamba boys wame set standards kubwa sana
Hata mimi nakumbuka wayback secondary kila mtihani nlkua nachapa nyumbu hata harufu hunisogelei sio kiswahili sio hesabu sio fizikia wala kemia utafurahi tu na roho yako
Mock the same kimbiza nyumbu mkoa mzima
Sasa kukawa na kitest sijui wanaviita vimitihani vya kujiandaa na necta bwana we si nkazngua nkawa mtu wa sita huko
Dah waliongea hadi wale nliokuwa nawafundisha wakaanza kunisema na sikuwahi kujisifu kwa mtu kwmba sijui nafaulu wala nini
That is what kina happen kwetu now
Tuishi nao tuwazoee watakuja sana humu ingawa sisi nyuzi zao hatuendi
Sijagusa mimi nyuzi ya chelsea kuwaponda ila cha ajabu kuna shabiki wa chelsea nmemwona humu anaiponda liva na ana bayern next week
Mshabiki wa chelsea na yeye anakuja humu kubishana na wana liva
Team ipo nafasi ya kumi
Utoto ujue
Sent using Jamii Forums mobile app
Walipotea wakati umetoka bila kua na shot on target? hiki ni kichekesho aisee!Atletico pamoja na kua kwao walipotea vile wakija Anfield watakula 5
Ni kweli mkuu, kitu kilichonishangaza ni Klopp kutomtumia kabisa Keita.
Anyway, ngoja tusubiri tuone.