Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wale wale walikuja hapa kucheka baada ya Liverpool kufungwa 3 kwa 0 na Barcelona ndiyo walewale wanaokuja leo kufurahia Liverpool kufungwa 1 - 0 na Atletico.

Nakumbusha tu kuwa Liverpool hafungwi Anfield.

Hata hivyo Liverpool anaweza kutolewa Anfield.

Katika Soccer hakuna kitu undefeatable
Wamejaa

Huwa hawajifunzi hawa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wale walikuja hapa kucheka baada ya Liverpool kufungwa 3 kwa 0 na Barcelona ndiyo walewale wanaokuja leo kufurahia Liverpool kufungwa 1 - 0 na Atletico.

Nakumbusha tu kuwa Liverpool hafungwi Anfield.

Hata hivyo Liverpool anaweza kutolewa Anfield.

Katika Soccer hakuna kitu undefeatable
Nlchogundua liverpool ni best team now in this world

Aani enzi hizo wala walkua hawasumbui hvi hawa mashabiki uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Diego huwa hapaki, huwa anacheza open game, tayari keshatoboa tundu lililoshinda timu kadhaa, records za clean sheets na sijui number of unbeaten games mwisho wake ulikuwa jana, tena mmeweka record mpya tokea vita vya pili vya dunia kwa kumaliza game bila shot on target.

Sent using Jamii Forums mobile app
chief, nitakutafuta mwezi June ili tupige hesabu za mavuno ya mwisho wa msimu!
 
Goli moja wameanza story ya ooh liverpool team mbovu

Nlchogundua ni kwamba boys wame set standards kubwa sana

Hata mimi nakumbuka wayback secondary kila mtihani nlkua nachapa nyumbu hata harufu hunisogelei sio kiswahili sio hesabu sio fizikia wala kemia utafurahi tu na roho yako

Mock the same kimbiza nyumbu mkoa mzima

Sasa kukawa na kitest sijui wanaviita vimitihani vya kujiandaa na necta bwana we si nkazngua nkawa mtu wa sita huko

Dah waliongea hadi wale nliokuwa nawafundisha wakaanza kunisema na sikuwahi kujisifu kwa mtu kwmba sijui nafaulu wala nini

That is what kina happen kwetu now

Tuishi nao tuwazoee watakuja sana humu ingawa sisi nyuzi zao hatuendi

Sijagusa mimi nyuzi ya chelsea kuwaponda ila cha ajabu kuna shabiki wa chelsea nmemwona humu anaiponda liva na ana bayern next week
Mshabiki wa chelsea na yeye anakuja humu kubishana na wana liva

Team ipo nafasi ya kumi

Utoto ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikiliza huu utoporo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Goli moja wameanza story ya ooh liverpool team mbovu

Nlchogundua ni kwamba boys wame set standards kubwa sana

Hata mimi nakumbuka wayback secondary kila mtihani nlkua nachapa nyumbu hata harufu hunisogelei sio kiswahili sio hesabu sio fizikia wala kemia utafurahi tu na roho yako

Mock the same kimbiza nyumbu mkoa mzima

Sasa kukawa na kitest sijui wanaviita vimitihani vya kujiandaa na necta bwana we si nkazngua nkawa mtu wa sita huko

Dah waliongea hadi wale nliokuwa nawafundisha wakaanza kunisema na sikuwahi kujisifu kwa mtu kwmba sijui nafaulu wala nini

That is what kina happen kwetu now

Tuishi nao tuwazoee watakuja sana humu ingawa sisi nyuzi zao hatuendi

Sijagusa mimi nyuzi ya chelsea kuwaponda ila cha ajabu kuna shabiki wa chelsea nmemwona humu anaiponda liva na ana bayern next week
Mshabiki wa chelsea na yeye anakuja humu kubishana na wana liva

Team ipo nafasi ya kumi

Utoto ujue

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni story tu kama zilivyo story zingine tu,hakuna evidence yeyote ya ulichokiandika hapa,mtu yeyote anaweza kujisifia kama ulivyojisifia wewe,acha utoto ongelea soka hasa game la jana,mambo ya Shule peleka huko huko shuleni kwenu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom