Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Diego huwa hapaki, huwa anacheza open game, tayari keshatoboa tundu lililoshinda timu kadhaa, records za clean sheets na sijui number of unbeaten games mwisho wake ulikuwa jana, tena mmeweka record mpya tokea vita vya pili vya dunia kwa kumaliza game bila shot on target.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona alipigwa na Napoli mkuu....
Hawa ni unbeaten wa EPL mzee,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe una record ninazo zihitaji.

Kwa hiyo ninazitafuta kwa lazima.

Ila jana nimeona power ya UEFA, hiki kikosi kilichocheza ndo hiki hiki kiko unbeaten EPL, lakini eti jana tumefungwa kirahisi sana.
No shoo on target
IMG_20200219_100038_951.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lol. Huku liverpool nilijua kuna mashabiki wanaojielewa tu. Kumbe hata mashabiki maandazi kama wewe wapo?

Unauliza nimekuja huku kufanya nini. Hili nalo ni swali la kuuliza?
Kama si shabiki wa team Fulani kwanini unaenda kwenye group lao??
Hope umetokea Tanga maana una element zote za kimwambao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom