MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,618
Hebu onyesha sehemu mtu yeyote amesema klopp kaanza kuwa shetaniJana tu klop keshaanza kuwa shetani tena... Kwamba nyie hamfungwi?? Kwa hisan ya nan
Wewe una record ninazo zihitaji.
Kwa hiyo ninazitafuta kwa lazima.
Ila jana nimeona power ya UEFA, hiki kikosi kilichocheza ndo hiki hiki kiko unbeaten EPL, lakini eti jana tumefungwa kirahisi sana.
Atletico ni timu ngumu sana kuifunga pale nyumbani kwao.
Na msipochanga karata zenu vizuri wanaweza kuwasurprise Anfield walishafanya hivyo dhidi ya Barcelona × 2 na Bayern ya Guardiola ×1, Chelsea ya Mourinho na Juventus msimu uliopita waliponea chupu chupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu za EPL kwa sasa ni dhaifu sana ,na nyinyi pekee mpo ktk kiwango bora na bahati juu....Wewe una record ninazo zihitaji.
Kwa hiyo ninazitafuta kwa lazima.
Ila jana nimeona power ya UEFA, hiki kikosi kilichocheza ndo hiki hiki kiko unbeaten EPL, lakini eti jana tumefungwa kirahisi sana.
Karibuni wageni jukwaani kwetuEl cholo kaweka basi,klopp analialia tu kwenye touchline
Uko njema mkuuLivapool mwisho wenu umefika.
Na huku kwenye lig mtaanza kupoteza hivyo hivyo.
Msipokuwa makini hata kombe la lig mnaweza msibebe
Sent using Jamii Forums mobile app
Timu za EPL kwa sasa ni dhaifu sana ,na nyinyi pekee mpo ktk kiwango bora na bahati juu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Una roho ngumu sana,Na wewe Arsenal umeamua kuweka kambi humu leo hahahahahahahahahJana nlikuwa simuoni ndugu yangu Bobby Filminho mpaka nikaamua nijiridhishe ktk livescore kumbe alikuwepo.....
Wale wahuni hawafai katika kulinda,ila naamini hapo anfield watakufa si chini ya goli 3,
Klopp anajua kuzicheza hizi game.
NB:El Chollo katufumbua macho
Sent using Jamii Forums mobile app
HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA HAHAHAHAHAHAHAHAHLivapool mwisho wenu umefika.
Na huku kwenye lig mtaanza kupoteza hivyo hivyo.
Msipokuwa makini hata kombe la lig mnaweza msibebe
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hili linawezekana anfield panaogopesha kwa kila mgeni.....Kama tunataka kuwatoa Atletico lazima first half wawe wamekufa 2.
Otherwise ni nightmare.
Hahahahaha...hawa liver hawaeleweki wanakujaje mzee,unaweza ukajipanga geti la kusini wao wakatokea kaskazini...maana huyuhyu Ancelloti aliyewabamiza na Napoli kilichomkuta Everton alooohh,Mungu ndiye pekee anajuaHata Napoli alikufumbueni macho na hamkufanyia kazi.
Mmekuja sasa baada ya kupotea kwa miezi mingiKwanini hamkuwapiga hiyo jana?
Acheni kujifariji nyie wazee wa Zero shots on target!
Chekini mshirikina mwingine huyuLivapool mwisho wenu umefika.
Na huku kwenye lig mtaanza kupoteza hivyo hivyo.
Msipokuwa makini hata kombe la lig mnaweza msibebe
Sent using Jamii Forums mobile app


Hahahahaaaa mimi nina roho ngumu haswaaaa..na sipo hapa kwa ajili ya jana tu mimi nipo hapa masika na kiangaziUna roho ngumu sana,Na wewe Arsenal umeamua kuweka kambi humu leo hahahahahahahahah
Sawa mkae mkijua Atletico kumfunga bao tatu ni sawa na ngamia kupenya tundu la sindano.Jana nlikuwa simuoni ndugu yangu Bobby Filminho mpaka nikaamua nijiridhishe ktk livescore kumbe alikuwepo.....
Wale wahuni hawafai katika kulinda,ila naamini hapo anfield watakufa si chini ya goli 3,
Klopp anajua kuzicheza hizi game.
NB:El Chollo katufumbua macho
Sent using Jamii Forums mobile app