Vip mkuu mwiko mmeuvunja?Nilikuwa matokeo kupitia goal live commentator anasema ATM hawajawah kupoteza mchezo ambao. Saul kafunga katka mech 34 wameshnda 32 draw 4 lakn naamin Leo tunavunja huo mwiko
Mungu ibariki Liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana mbwembwe sana hawa kwa mafanikio ya msimu mmoja tu!Jana tu klop keshaanza kuwa shetani tena... Kwamba nyie hamfungwi?? Kwa hisan ya nan
Wanayumba... Na sipati picha wakitupwa nje itakuwajeWana mbwembwe sana hawa kwa mafanikio ya msimu mmoja tu!
Tayari washajifanya kujua kuliko klopp ambaye hapo kabla walimuona kama brain ya timu.
Nilikuwa matokeo kupitia goal live commentator anasema ATM hawajawah kupoteza mchezo ambao. Saul kafunga katka mech 34 wameshnda 32 draw 4 lakn naamin Leo tunavunja huo mwiko
Mungu ibariki Liverpool
Sent using Jamii Forums mobile app


Saul Kama mchawi uyu jamaaCant say otherwise Kaka...We had three mechanics Jana and you will never break teams that are parking the bus with mechanics wasiopiga masjuti ya mbali
Get tricky players to attract fouls and set pieces
Hadi umeingia humu hahahahEl cholo kaweka basi,klopp analialia tu kwenye touchline
We need fresh ideas fresh faces with different dynamics up front that the reality...Most interesting ni kwamba kwenye huu Uzi sometime bora niwe Msomaji Comments kulilo kupost hapo nitakuwa kwa asilimia 100% nimeheshimu mawazo ya wengine.
Coz kumeibuka posts za kiajabuajabu mpaka unajiuliza tunajadili mpira au rede?
Mfano wa post hizo:
1) Tusisajili wachezaji aina ya Sancho, Werner and co ili front 3 yetu ibaki Salama.
Bali tusajili wachezaji ambao hawatokuja kuleta ushindani wa namba kwa Front 3 kama vile Adama.
2) Hata tukisajili hakuna mchezaji yeyote duniani anayeweza kupata namba mbele ya Front 3 wetu (Mane, Salah na Bobby), Mmoja amediriki kusema Mbappe hafai kuja Liverpool Coz hawezi kupata namba mbele ya Bobby au Mane.
3) Mwengine anasema Halaand siyo type ya Mchezaji wa kucheza system ya Klopp, but Adama ni real type ya mchezaji wa system ya Klopp! Nabaki nacheka tu.
Ivi ni kweli hatupaswi kusajili talented (Attackers) players coz tuna stable Front 3???
Kweli tuna Modern JF football analysts!!!!
Mwisho: Tusiwe wepesi sana wa Kumtukana Klopp kwa kupoteza game ya Jana, but tunaweza kumkosoa kiuchambuzi zaidi na kuangalia zile open blunders zilizofanyika.
ExactlyWe needed the likes of baby and taki
Not mechanical milner or hendo
Hata kwa napoli hatukupiga on target na tulikufa mbil so hakuna cha ajabu alichofanya choloDiego huwa hapaki, huwa anacheza open game, tayari keshatoboa tundu lililoshinda timu kadhaa, records za clean sheets na sijui number of unbeaten games mwisho wake ulikuwa jana, tena mmeweka record mpya tokea vita vya pili vya dunia kwa kumaliza game bila shot on target.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafanye application uchukue timu ww. Maana inaonekana ni mtaalamu SanaKlopp sometime ni fala sana game inaonekana kabisa altetico muda mwingi wana defend,bado unawarudisha viungo wa kukaba badala ya kuweka viungo washambuliaji.
Kabla ya half time alitakiwa afanye mabadiliko amtoe salah na henderson amuingize keita na chambo.klopp hajifunzi kabisa ana kiburi sana siku zote anaina tukicheza na timu inayo defend sana huwa tunapata shida kupata matokeo lakini bado anafanya yale yale makosa.
Hata tukiwashinda altetico hiyo march 11 itakuwa sio sababu ya mbinu za klopp bali itakuwa ni sprit ambayo liverpool tunayo dhidi ya Uefa.
Kupata hivi vichekesho tunabonya namba zipi?
Kweli kabisa,maana kama mpira mlipiga wa kutosha tu.Haswaaa...
Bado ni open game...
The most prepared mentally will win this...
Anfield Kops will play a big role...
YNWA
Wale wale walikuja hapa kucheka baada ya Liverpool kufungwa 3 kwa 0 na Barcelona ndiyo walewale wanaokuja leo kufurahia Liverpool kufungwa 1 - 0 na Atletico.
Nakumbusha tu kuwa Liverpool hafungwi Anfield.
Hata hivyo Liverpool anaweza kutolewa Anfield.
Katika Soccer hakuna kitu undefeatable