MosDef
JF-Expert Member
- Mar 13, 2014
- 8,420
- 17,183
huo msimu goli zake nadhan karibu 11 zilikua penati, naruhusu kusahihishwa!Sijapenda kumquote mtu about stevie G.
Yaani acheze Lallana Milner Hendo stevie G ashindwe...
hhhhhhhhhhhh
A man of 35 yard goals killer passes lol you gotta kidding me indeed.
Ila bora angekuwepo tu avae armband
View attachment 1344689
Sent using Jamii Forums mobile app
What a sepcial feeling
klop hajengi timu zake kumzunguka mchezaji, ila wachazaji wanafit mfumo wake!Steven Gerard (SG) ndo namba nane bora zaidi kuwai kutokea duniani along with Kaka na Zidane kulingana na ninavyoona
Kwa epl ni wa kwanza ndan mle, siangalii sana makombe mana sio ninachoangalia kwa mchezaji mojamoja, hilo ni la timu, no doubt kuwa ni mkali na namkubali kwelikweli, nimeanza kufatilia mpira 2005 but heavely 2007, namjua ni mkali
Ila jua Kaka yule mbrazili alikuwa mkali sana na alikuwa anathamani sana kuliko SG, ala katika peak yake akatoka akaenda Madrid na kuonekana anazingua na mzungukaji tu
Ata mtoto mdogo anajua ukali wa mtu kama ni mkali
Ila kukubaliwa kwenye system ya mchezo flan ni jambo jingine
Enzi za uhai wa kiwango cha Gerard ye ndo alikuwa liverpool na wengine ni kujaziajazia kutengeneza team, inshort ni kama alikuwa Messi wa liverpool, ukimziba Gerard umeizima liverpool, kila mchezaji akipata mpira anaangalia na kufikiri Gerard atapenda nifanye nn, na ye hakudissappoint kabisa
Ila swali ni Je, Klop angemchukua huyo Gerrard na kujenga team kumzunguka au angeendelea na style yake ya uchezaji kupitia pemben na kupress
Yes, kila coach ana system yake..
And, i agree..
But, SG, kwa aina ya uchezaji wake under Klopp, angekuwa ni more than a star.
KDB, is playing under possession footie system ya Pep, but chini ya Klopp angekuwa ni more than a Star kutokana na the way anavyocheza.
SG was a talented footballer & a workhouse.. (He pressed/run down the ground/broke the lines/defend from deep/pace/dribbling/killer passes/ball control/shield/hold up play/Assists/goals)..he'd fit in Klopps 433 traditional system/343/4321, he'd play in double pivots/lone RCM/LCM/B2B/Winger/Number 10/False 9 and cover at RB/LB (hizo ni positions zote alizocheza akiwa LFC), he was a machine.
Ndiyo maana mpaka kesho, SG anasema huwa anaumia kwa Klopp kuchelewa kuja LFC, because he knows damn well he's his ideal manager.
SG was not a system player.
MF ambaye ange-struggle in Klopp's MF ni Lampard, because he was slow in build ups and not a good runner.
Technical MFs wote unaowajua wange-excel under Klopp's system in a 4321. He had a lot of technical MFs at Dortmund (Gundo/Sahin/Kagawa etc)..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry about your FATHER, my brother, may he continue to rest in peace.What a sepcial feeling
Daaaah
Sir wazee tulioanza zamani it's like a dream come true
I wish my father was alive to see this
Not kwa special player kama SG, tena under a dynamic manager kama Klopp.Too bad we’ll never know,
Ila sio nasema atakuwa mbaya, No, naongeleatu probability na kuwa sometimes things tend to play the other way round, its the game of probability
Sent from my iPhone using JamiiForums
Remember tunaangalia akina bjorneby, Hansen, mcmanaman, finnan, daglish, rush, Phil Babb, titi, Sammy, henchoz, cisse, Momo, gerro, carra, diaoSorry about your FATHER, my brother, may he continue to rest in peace.
Nothing can beat this feeling brother, Nothing.
I still cant even believe it mpaka sasa..
Its been a long wait, na jinsi tulivyofanya in style inafanya furaha iongezeke zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Klopp bulid his teams in patches..klop hajengi timu zake kumzunguka mchezaji, ila wachazaji wanafit mfumo wake!
klop anajenga mfumo ili wachezaji wafit humo na sio kuweka mchezaji then mfumo umzunguke yeye!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha..Remember tunaangalia akina bjorneby, Hansen, mcmanaman, finnan, daglish, rush, Phil Babb, titi, Sammy, henchoz, cisse, Momo, gerro, carra, diao
Ma'am the movie is beyond true life drama
Will never forget Ile 3 goals win where gerro, riise scored screamers
That game where Garry Neville handled the ball carelessly and Danny Murphy scored the penalty
Jeeezzzz
Kumbe we kajamaa una miaka 26Lazima uone hvyo mana akili yangu na yenu ni tofauti sana, kiuwezo wa kufikiri najua ata robo huwezi kunifikia, nina imani maana kati ya wote akili yako inaonekana dhahiri, ndo maana ata maisha yako nayapatia picha na kuyaona
Anyways most stupid people dont know are stupid, ndo maana enz niko secondary Tusiime pale kabla hawajanijua vizuri walikuwa walikuwa wanabishabisha ninavyoongea till walipopata akili au kuwa wakubwa
Am 26 soon 27 ila kwa kuwa nimekuzidi akili naamini nimekuzidi kila kitu inaonesha, ko naamini ata ninavyoongea vina maana sana ila kwakuwa akili yako iko chained ni ngumu kuelewa
Sent from my iPhone using JamiiForums






Ni home boy. Tutaogopa kumshambulia akivurunda. Hata hivyo it will pain him badly in case of poor results and performance.FSG gave SG a peanut new offer..
Akaona wame-dharau his legacy. ndiyo maana akaondoka kwa hasira.
But, its funny because they'll need him in 2024 to save their tight arses again, watafanya hivyo because of SG's big name at LFC. But in reality watakuwa wanasave money as SG will be a cheap option and easy to fool the fans.
But, i dont want SG to be our manager. because itakuwa so hard kumpelekea maneno ya moto moto.
Sent using Jamii Forums mobile app
TUSIIME IPOKumbe we kajamaa una miaka 26
Unatutishia na tusiime
Aiseeeeeee
What the fvck
Sent using Jamii Forums mobile app
Let his soul rest in eternal peace..What a sepcial feeling
Daaaah
Sir wazee tulioanza zamani it's like a dream come true
I wish my father was alive to see this
Naamanisha KDB ndio ataanza benchiLol unataka kusema Hendo will get benched?
Una utani na top reds.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha I like that "LEGEND" thing ... sasa sijajua ni LEGEND wa LFC au wa JF .... Hahahahaha...
Kumbe we kajamaa una miaka 26
Unatutishia na tusiime
Aiseeeeeee
What the fvck
Sent using Jamii Forums mobile app