Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Kuna tofauti ya normal na struggle, soma vizuri uelewe nilichomaanisha
Under Rodgers hakuwa main man na alikuwa system player with a big name
Sent from my iPhone using JamiiForums
& the whole squad names Xmas comes early 2020 lol...
Thats why we have Klopp he makes the impossibles to be possibles Hahaha...
Did you even watch a prime SG?
Unajua kuwa SG ni typical Klopp Midfielder, not just Klopp, he was every manager's dream MF.
Mnamuangalia SG kwenye youtube afu manakuja na hizi takes za ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani huyo Mtu nashindwa kumuelewa mpaka nabaki nanyamaza.
Sometime huwa ninajiuliza hivi aliwahi kumshuhudia SG akicheza mpira au anamzungumza kupitia ile Clip aliyoteleza mbele ya Demba Ba!!!
Enzi za Rodgers (2013/14) SG alikuwa na umri gani ili turelate na hiyo kauli ya kuwa alikuwa normal.
gomez asingepata yale majeraha yaliyomlisha nje kwa muda mrefu sijui ingekuaje!....
Jamaa, takes zake za mpira zinachekesha sana.
Ukute hata SG wa 2013/14 hakumuangalia..
He was our best MF that season, pamoja na umri kuwa umemtupa mkono..
You watch this Klopp's team every day na bado unakuja na takes za kuwa SG asingefit, SG wa ukerewe, au?
Its all about opinions, but kuna opinions zingine ni za kipuuzi na zinakera.
Sent using Jamii Forums mobile app
ila mkuu stev ilikua habari nyingine yule jamaa Lol...... kwangu mimi stev alikua bora sana kumzidi lampard (ambae mataji yanambeba)!.....Kuna aina za mipira na zinavyochezwa
Ndio maana Zlatan Ibrahimovic na ukali na magoli yake yote katoka inter kaenda Barca kaishia kuwa wa ajabu uko
Coutinho katoka liver motomoto kaenda barca kachemka,
Ila kuna team zinazotegemea middle sana , nyingine mabeki sana, nyingine hasa za pressing zinategemea strickers 3 sanasana na fullbacks na midfielders hasahasa wanafanya kaz za kusupport mfumo na kuzuia endapo shambulizi litatokea
Ndo maana humu watu mnashangaa Wijnaldum kutokufunga sana akiwa liver na kufunga sana akiwa Netherlands
Mfumo huu Rodgers aliutumia ndo maana Gerard alirudi na kuonekana yuko deep, uku suarez sterling sturridge na kwa mbali coutinho walionekana kusumbua gwaride
Ndo maana ata Pep hajawah kuwa na midfielder ambae ni stricking force na mamidfielder wake wote walikuwa ni system players, ata Toni Kroos mwenyewe angekuwa passer au angeuzwa kama angekutwa na Pep, ila alibahatika kutimka kabla hajakutwa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Gomez aliumia dec kuingia jan last season.gomez asingepata yale majeraha yaliyomlisha nje kwa muda mrefu sijui ingekuaje!....
nadhan yeye na vvd wanatupeleka kwenye ulimwengu mwingine wa furaha japo wengi wanamtazama vvd kwa sababu ya jina,cost, na reputation yake......
gomez, robbo, taa hawa wanatufanya wakati wote tutabasamu!![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Man, these new LFC fans are so stupid at times..
I guess hajawahi kumuona a peak SG..
So, huwezi kumshangaa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wow, this is tough, but let me try..Mi nshalewa hapa... Hebu nisaidie rekodi ambazo sijawahi kuzisoma katika ligi ya Wingerezani kwa sababu ya ulevi wangu....
Rekodi ya tofauti ya pointi kati ya:
Bingwa Vs Mshindi wa pili
Bingwa Vs Aliyeshika mkia
Bingwa mpya Vs Bingwa mstaafu
Bingwa aliyepata points nyingi zaidi Vs Bingwa aliyepeta points chache zaidi
Kama na wewe hujui au hujanielewa, wala usijali... hizi ni pombe tu.
Nina Raha mimi ndo maana.... Naisubiria Furaha kama niliyoipata pale SG alivyoongoza chama likatwaa ndoo bada ya kuwa tumeshacharazwa 3-0 na yale manyigu ya Milan...
SHENZY ZAO KABISA, TENA SHENZY NA ROBO.
Man, these glorified LFC fans are terrible.Itakuwa aliona ile clip SG vs Man U game yake ya mwisho aliyopewa red card in. 20sec
If we win matches zetu zote 6 zinazokuja (including Everton)..We may get a lap of honor before city game ... It will be at anfield against Crystal palace to be precise
Mkuu kombe la dunia 2002 wasenegal walivyomtoa nishai mtu mzima bingwa mtetezi France, niliwafatilia wasenagal wote club walizosajiliwa akina mnyama camara na kipa wao alisajiliwaga Marseille.Zumbemkuu na Blac kid nimesoma sana aisee...
Huyo jamaa baada ya kutoka kombe la dunia alikua fire mnooo... Nadhani hakutegemea kama angetua Liverpool uzito wa jerzi nao ulichangia kua flop..
All in all respect to you both..
YNWA
SG was the main man for Rodgers for 2 seasons running, 12/13, 13/14..Kuna tofauti ya normal na struggle, soma vizuri uelewe nilichomaanisha
Under Rodgers hakuwa main man na alikuwa system player with a big name
Sent from my iPhone using JamiiForums
Huwa unakuwa na points nzuri sana za kuanzisha mijadala bora, but unashindwa jinsi ya kuzipangalia..(Sometimes nashindwa kuelewa kuwa mi ndo nimekosea kuandika au husomi vizuri ukanielewa)
Sent from my iPhone using JamiiForums