Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Changamoto ya msimu itakuwa tarehe 23 na 29 kama tunaondoka na point 6, basi tutakuwa mabingwa mapema mwezi wa 3
 
Haya majamaa tukikutana nayo sijui tunakuwa tumelogwa? Na ubovu wake lakini ndio timu pekee iliyoambulia sare na Majogoo kwenye raundi ya kwanza....

Imagine! Yaani unawacharaza kina ManShit, ChelSick. LazySista, AssesNo, TotoHumberger na wengine afu huyu mgonjwa Manure anakudindia droo.... huoni kama kuna kauchawi flani hawa Mbolea ya Bata wanakatumia??
Mzee vip mzee ..kesho mutatoka kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom