Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Allison ametwaa tuzo ya mchezaji bora Brazil 2019

VVD ametwaa tuzo ya mchezaji bora EPL, mchezaji bora Holland,mchezaji bora ulaya


Robertson ametwaa tuzo ya mchezaji bora Scotland 2019


Hendo ametwaa tuzo ya mchezaji bora England 2019

Mane ametwaa tuzo ya mchezaji bora Senegal, mchezaji bora Afrika


Salah ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa nchi za kiarabu, mchezaji bora wa club world cup, mchezaji bora Misri.


NB: Watu wakija hapa kupost HATES muwe mnawaelewa. Wanateseka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani bila var wangeweza kutwaa izo tuzo

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga basi....
Mbona na wewe matako unakurupuka? Umeelewa lakini nilikuwa namaanisha nini? Wacha ujinga wa nyanyako wewe! Hukuona jamaa alisema Fernandinho katupia? Kwa vile tulkuwa tunajibizana na huyo jamaa mimi nikafikiri kafunga kwake, wacha upumbavu mkuu!
 
Mbona na wewe matako unakurupuka? Umeelewa lakini nilikuwa namaanisha nini? Wacha ujinga wa nyanyako wewe! Hukuona jamaa alisema Fernandinho katupia? Kwa vile tulkuwa tunajibizana na huyo jamaa mimi nikafikiri kafunga kwake, wacha upumbavu mkuu!

You are so disrespectful.

And disgusting as well.
 
Screenshot_20200118-213914.png

Rhian Brewster
 
Mbona na wewe matako unakurupuka? Umeelewa lakini nilikuwa namaanisha nini? Wacha ujinga wa nyanyako wewe! Hukuona jamaa alisema Fernandinho katupia? Kwa vile tulkuwa tunajibizana na huyo jamaa mimi nikafikiri kafunga kwake, wacha upumbavu mkuu!
Aise Asprin mutu mzito mutake tadhi bana...mzee wa boma uyu Ohoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom