mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,025
- 1,623
Man city and Wolves hizo game za kibabe ..Tukimaliza January bila kupoteza, record ya 49 unbeaten run ya Arsenal itakuwa mashakani.
January tuna Tottenham (away), Man Utd (home) and Wolves (away) hizi ngoma zikipita April 4 City atakuwa ndiye game ya 49.
Wenyewe wanasema 'suffering from success'Kitendo cha Kila Mtu kuilalamikia Liverpool kuhusu VAR inaonesha kwamba sasahivi Liverpool ni Timu inayofatiliwa zaidi na Wapenzi wa Soccer kuliko Timu yeyote ile Duniani.
Na ndiyomana VAR ikiboronga kwa Vitimu vilivyokwisha ishiwa kama Manure na Chelsea basi hakuna anayejali, but ikifanya maamuzi yeyote kuhusu Liverpool ndiyo utaona kelele nyingi sana hapa.
Kuna kipolo Cha westham wameweka Jan 29 pia.Tukimaliza January bila kupoteza, record ya 49 unbeaten run ya Arsenal itakuwa mashakani.
January tuna Tottenham (away), Man Utd (home) and Wolves (away) hizi ngoma zikipita April 4 City atakuwa ndiye game ya 49.
not eligibleHivi Keshokutwa Takumi si anaanza kukipiga, itabidi tuanze na Minamino halafu Salah ataingia dk y 60
Sent using Jamii Forums mobile app
Lambert yule ni scouser alitaka kurudi nyumbani baada ya kufanya vyema South Coast lol alifeli vimbaya...
Ya Philips anarudi nyumbani Kwa siku kadhaa atarejea tena Stuttgart kuedelea na mkopo wake mwezi February wakishakua wamepona Matip na Lovren...Yap sahiv kila mchezaji anahitajika nadhani mpaka clyne angekuwa fit angecheza ..kipindi hichi ndo Cha kuonesha mchango kwa timu nimeona mpka kamleta yule aliyekuwa Stuttgart mkopo nadhani game na Everton FA anaweza akapewa nafasi ..Kama hao beki wetu kurudi mpak Feb
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo Visa Free walimkatalia kuingia UK mpaka sasa anaedesha vikao kwa Skype 🤣🤣🤣
Sasa hawa Blue kua chini ya huyu mamvi itakua ndio derby game murwa...
Dah! Carroll na Benteke walifanya udhalilishaji Mkubwa sana wa hii Jezi.
Hope Jezi namba 7 akiiwacha Milner akabidhiwe Salah au irudishwe Kabatini.
Watu wana roho ngumu! Hapo kuna timu za kushabikia? So kujitia pressure bure tu? Huo uchafu ubaki huko huko asante mkuu!Nashauri mambo ya Simba na yanga yabaki kwenye majukwaa yake
Manure hamna kitu, anakuja machinjioni. Mechi ngumu mwanangu hapo ni ya Mbwa Mwitu, tunaenda nyumbani kwao! Walichunge sana lile bouncer (Adama Traore) maana lilichomfanyia Mendy siyo kawaida!We had Leicester and wolves pia, those were a true test...
Game ngumu hapo ni ya manure tu