Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_7237.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu umechanganya last season hakukuwa na VAR wala Refa hakutuuwa kwenye hiyo game tuliyotoa Sare na Manure Klopp akasingizia injuries za Manure zimeharibu game plan yake.

Mwaka jana Ubingwa tukihujumiwa na Klopp kuwang'ang'ania kiungo ya Hendo, Gini na Milner game ngumu.

Baada tu ya kuamua kumwachia namba Fabinho tumetoa draw moja tu EPL, angeanza kumweka mapema Fabinho mwaka jana tungechukua EPL.
 
Watampa mkwaja mamvi kuimarisha pale nyuma hivyo angalau ataleta ushindani kwenye ligi sio kugawa pointi kama kipindi cha Silva...
Hahaha ,Tunamuhitaji na pep asikimbie kwanza msimu ujao amalizie tuone mbinu tofauti tofauti..maxi allegri , pochetino ,Wenger naye arudi,Diego Simeone waje pale EPL tuumane...
Nilisoma article moja ya mipango ya mwekezaji wa Southampton-yule mwanamke ( wakiwa na nia ya kuanza kuzigombania nafasi 4 za juu) sijui walisitisha ama ilikuaje au sababu ya huyu mchina mwenye share kubwa kaja na mipango ile ile ya kizamani... sielewi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha ,Tunamuhitaji na pep asikimbie kwanza msimu ujao amalizie tuone mbinu tofauti tofauti..maxi allegri , pochetino ,Wenger naye arudi,Diego Simeone waje pale EPL tuumane...
Nilisoma article moja ya mipango ya mwekezaji wa Southampton-yule mwanamke ( wakiwa na nia ya kuanza kuzigombania nafasi 4 za juu) sijui walisitisha ama ilikuaje au sababu ya huyu mchina mwenye share kubwa kaja na mipango ile ile ya kizamani... sielewi!

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Liverpool kutoka kwenye shimo la mufilisi 2010 na sasa kua klabu ya nguvu kipesa na uwanjani kurudisha makali naamini wawekezaji wengi watahamashika kuja ama kuongeza mkwaja kwenye timu zao...

Sisi tu nasema waje tu akina Wenger, Maxi, Diego nk tupo tayari Kwa ushindani...

Pep mbishi yupo njia panda akikinbia atasemwa amemkimbia Klopp baada ya kuona Liverpool hii haizimiki tena..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom