Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hahahaha Simba tupo imara Leo lazima apigwe mtu..Mkuu mimi ni Mkongwe ila hapo waweza nikamata, asaiv utandawazi mpira hata kwenye simu unaweza kuangalia na kusoma chambuzi mbali mbali tofauti na wakati wa nyuma, mimi pia shabiki wa Simba ila siwezi kukutajia kikosi chote cha Simba kwasababu sifuatilii sana, ila hapa mzee baba nakutajia list yote ya kikosi cha Liverpool mpaka wachezaji wanaohisiwa kutua Anfield msimu ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeboyebo jana kashinda basi kelele kama zote..
Ni wakati wa Wekundu sasa...



