Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Ok let's say VAR is on our side! Who cares?
Let's enjoy our 19 guyz
Tuanze kuandaa suti hiyo may 17 .
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ok let's say VAR is on our side! Who cares?
Let's enjoy our 19 guyz
Joe Gomez isn’t getting enough praise, he’s been unbelievable.
League ya mashoga, mnachukua ubigwa wa mashoga wanaume wapo laliga wewSafari hii mtaumia sana roho,maana ndio kwanza tunazidi kuwapelekea moto.
Hatuwezi kufanya makosa ya miaka yote ,na tunajitambua na tunaakili timamu.
Ndio mlichobakiza hicho.na sisis msimu huu tunamaliza ligi bila ya kufungwa na timu yoyote ile.maana saizi gari ndio limewaka na mid January kikosi kitakuwa full mkoko sasa sioni kama kuna kima atatoka hapo au kupata hata goli.tuko moto
Sent from my iPhone using JamiiForums




Daaa kila nikiona hii pic, naona kabisa klop kama vile n shoga na hao macaptain waliovaa hayo ,,aibu naona mimiEpl yenyewe umesahau kama inasapot mashoga
View attachment 1307801
Sent using Jamii Forums mobile app





Hahaha Kuyt ni kweli alikua kama Firmino ni wapambanaji haswa..Mkuu kuyt, alikuwa mpambanaji sana me ningemfananisha na firmino kwenye kujituma kukaba,maana jamaa alikuwa anamapafu sio ya binadamu wa kawaida.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Alikuwa jembe haswa...!Hahaha Kuyt ni kweli alikua kama Firmino ni wapambanaji haswa..
Ana rekodi yake murwa sana, ni Mchezaji wa kwanza Liverpool tangu 1990 kufunga hat trick dhidi ya Manchester United alifanya hivyo 6/3/2011..
YNWA
Haha hii ndo ile liverpool yenye wapiga vyumaa kama bellamy badala ya kuwa na wachezaji wa maana. Aise maisha yapo mbio sanaThe 2011/12 was the worst for us. We finished with a total of 52 points in all 38 games.
This current seaseon (half way through) we are on 55 points, 3 more than what we managed during the 2011/12 season.
Tumetoka mbali sana acha tujidai bana, wanaosema ni mda wao sisi acha tule bata na sisi ni mda wetu.View attachment 1307739





Careless whispersliVARpool hata wawe na 15 points Gap hawatishi...
Tunajua muda wenu wa kuanza kuangusha maembe mnahitaji kuzingua mechi 6 au 7 tuu kati ya 18 zilizobaki..
Sent using Jamii Forums mobile app
Unazingua mkuu, mbona wengi sana hapo wangecheza, 5,9,18,19,20,25Tujikumbushe wachezaji wetu Wa msimu wa 2009 - 2010 na yaliyojili.
Msimu huo tulimaliza ligi EPL tukiwa nafasi ya 7 na pointi 63.
Ilikua ni mara kwanza kwa zaidi ya miaka 10 kumaliza ligi tukiwa nafasi 'mbaya' vile. Kutokana na hayo na mengineo ilibidi Raphael Benitez aachie ngazi.
Manager
Rafael Benitez
Assistant Manager
Sammy Lee
Captain
Steven Gerrard
Msimu huo ulikua Wa 118 tangu klabu yetu pendwa imeanzishwa.
Liverpool Squad 2009-2010
1. Diego Cavalieri
2. Glen Johnson
4. Alberto Aquilani
5. Daniel Agger
8. Steven Gerrard
9. Fernando Torres
10. Andriy Voronin
11. Albert Riera
12. Fabio Aurelio
15. Yossi Benayoun
16. Sotirios Kyrgiakos
17. Maxi Rodriguez
18. Dirk Kuyt
19. Ryan Babel
20. Javier Mascherano
21. Lucas
22. Emiliano Insua
23. Jamie Carragher
24. David N'Gog
25. Pepe Reina
26. Jay Spearing
27. Philipp Degen
28. Damien Plessis
29. Krisztian Nemeth
30. Charles Itandje
31. Nabil El Zhar
32. Stephen Darby
34. Martin Kelly
35. Ryan Flynn
36. Steven Irwin
37. Martin Skrtel
38. Andrea Dossena
39. Nathan Eccleston
40. David Martin
41. Peter Gulacsi
42. Martin Hansen
50. Dani Pacheco
51. Daniel Ayala
52. Mikel San Jose
Hivi wakuu kati hawa wachezaji Wa 2009 2010 ukiachana na Steve G ni nani mwingine anaweza kujipenyeza kwenye kikosi cha sasa.
Mkuu zaidi ya 9 hao wengine kwa namba zao uwanjani hakuna wa kupenyeza kikosi cha kuanza na kuanzishwa watasugua sana benchi..U
Unazingua mkuu, mbona wengi sana hapo wangecheza, 5,9,18,19,20,25
Once a Red always a Red hakika ni legend kabisa.
Am proud of this team, majogoo ni noma sana mwaka 2019 ndani EPL tumepoteza mechi moja ugenini Ethad Stadium...


True Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle
View attachment 1307707
When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.
Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.
mkuu, hapa huyo nyuma ya cole nimemsahau.........
hilo para kushoto kwa cole ni jovanovic sio???.......
namwona babel, aurelio, huyo tall sijui ni kelly.........
ngoja nikumbuke.....
reina,kyrgiakos, x1, kelly, aurelio, x2, jonjo, pacheco, babel, jova, cole......
X1.... simkumbuki kabisa
X2... huyu nimemsahau jina
kazi ya daglish hii......
Sent using Jamii Forums mobile app