Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

KLOP NI SHOGA

Sent using Jamii Forums mobile app
Epl yenyewe umesahau kama inasapot mashoga

tapatalk_1575536393134.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Safari hii mtaumia sana roho,maana ndio kwanza tunazidi kuwapelekea moto.

Hatuwezi kufanya makosa ya miaka yote ,na tunajitambua na tunaakili timamu.

Ndio mlichobakiza hicho.na sisis msimu huu tunamaliza ligi bila ya kufungwa na timu yoyote ile.maana saizi gari ndio limewaka na mid January kikosi kitakuwa full mkoko sasa sioni kama kuna kima atatoka hapo au kupata hata goli.tuko moto


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Safari hii mtaumia sana roho,maana ndio kwanza tunazidi kuwapelekea moto.

Hatuwezi kufanya makosa ya miaka yote ,na tunajitambua na tunaakili timamu.

Ndio mlichobakiza hicho.na sisis msimu huu tunamaliza ligi bila ya kufungwa na timu yoyote ile.maana saizi gari ndio limewaka na mid January kikosi kitakuwa full mkoko sasa sioni kama kuna kima atatoka hapo au kupata hata goli.tuko moto


Sent from my iPhone using JamiiForums
League ya mashoga, mnachukua ubigwa wa mashoga wanaume wapo laliga wew


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuyt, alikuwa mpambanaji sana me ningemfananisha na firmino kwenye kujituma kukaba,maana jamaa alikuwa anamapafu sio ya binadamu wa kawaida.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaha Kuyt ni kweli alikua kama Firmino ni wapambanaji haswa..

Ana rekodi yake murwa sana, ni Mchezaji wa kwanza Liverpool tangu 1990 kufunga hat trick dhidi ya Manchester United alifanya hivyo 6/3/2011..

YNWA
 
The 2011/12 was the worst for us. We finished with a total of 52 points in all 38 games.

This current seaseon (half way through) we are on 55 points, 3 more than what we managed during the 2011/12 season.

Tumetoka mbali sana acha tujidai bana, wanaosema ni mda wao sisi acha tule bata na sisi ni mda wetu.View attachment 1307739
Haha hii ndo ile liverpool yenye wapiga vyumaa kama bellamy badala ya kuwa na wachezaji wa maana. Aise maisha yapo mbio sana
 
Sema hawa kuku wanaoongea kuhusu VAR watasababibisha vijana wawashe moto sana

Aisee... Watakoma nawaonea huruma

Yaani itakua ni kichapo mmoja baada ya mwingine

Niwape taarifa fupi tu vijana wana hasira aisee

Yaani wanaanza na sheffield kichapo kitakachotembea ni Mungu tu ndiye anajua

Yaani ni chapa twende

Hao manure aisee watapigwa wakuu

Yaani watapigwa kipigo ambacho sijui nisemaje

Ila kitakua ni kipigo
. Nmevujishia hii siri

Kaeni kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
liVARpool hata wawe na 15 points Gap hawatishi...

Tunajua muda wenu wa kuanza kuangusha maembe mnahitaji kuzingua mechi 6 au 7 tuu kati ya 18 zilizobaki..

Sent using Jamii Forums mobile app
Careless whispers

We are the world club champions, UCL champions and kings of Europe

Hizo ndoto za maembe kamalizie shambani
 
U
Tujikumbushe wachezaji wetu Wa msimu wa 2009 - 2010 na yaliyojili.

Msimu huo tulimaliza ligi EPL tukiwa nafasi ya 7 na pointi 63.

Ilikua ni mara kwanza kwa zaidi ya miaka 10 kumaliza ligi tukiwa nafasi 'mbaya' vile. Kutokana na hayo na mengineo ilibidi Raphael Benitez aachie ngazi.

Manager
Rafael Benitez

Assistant Manager
Sammy Lee


Captain
Steven Gerrard

Msimu huo ulikua Wa 118 tangu klabu yetu pendwa imeanzishwa.

Liverpool Squad 2009-2010

1. Diego Cavalieri
2. Glen Johnson
4. Alberto Aquilani
5. Daniel Agger
8. Steven Gerrard
9. Fernando Torres
10. Andriy Voronin
11. Albert Riera
12. Fabio Aurelio
15. Yossi Benayoun
16. Sotirios Kyrgiakos
17. Maxi Rodriguez
18. Dirk Kuyt
19. Ryan Babel
20. Javier Mascherano
21. Lucas
22. Emiliano Insua
23. Jamie Carragher
24. David N'Gog
25. Pepe Reina
26. Jay Spearing
27. Philipp Degen
28. Damien Plessis
29. Krisztian Nemeth
30. Charles Itandje
31. Nabil El Zhar
32. Stephen Darby
34. Martin Kelly
35. Ryan Flynn
36. Steven Irwin
37. Martin Skrtel
38. Andrea Dossena
39. Nathan Eccleston
40. David Martin
41. Peter Gulacsi
42. Martin Hansen
50. Dani Pacheco
51. Daniel Ayala
52. Mikel San Jose

Hivi wakuu kati hawa wachezaji Wa 2009 2010 ukiachana na Steve G ni nani mwingine anaweza kujipenyeza kwenye kikosi cha sasa.
Unazingua mkuu, mbona wengi sana hapo wangecheza, 5,9,18,19,20,25
 
Mkuu mimi ni Mkongwe ila hapo waweza nikamata, asaiv utandawazi mpira hata kwenye simu unaweza kuangalia na kusoma chambuzi mbali mbali tofauti na wakati wa nyuma, mimi pia shabiki wa Simba ila siwezi kukutajia kikosi chote cha Simba kwasababu sifuatilii sana, ila hapa mzee baba nakutajia list yote ya kikosi cha Liverpool mpaka wachezaji wanaohisiwa kutua Anfield msimu ujao
True Liverpool Fans Will Never Forget The Struggle

View attachment 1307707

When ninapoangalia hii picha nikamuona mchezaji kama Pachecco au Kyrgiakos nanapata pain how far we came from.

Enewey kuna Madogo wanaojifanya Wajuaji ukiwaambia wakutajie wachezaji 5 tu kwenye hiyo picha basi hachomoki, halafu anajifanya kaijua Liverpool kabla Michael Oliver hajawa Referee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu, hapa huyo nyuma ya cole nimemsahau.........


hilo para kushoto kwa cole ni jovanovic sio???.......


namwona babel, aurelio, huyo tall sijui ni kelly.........


ngoja nikumbuke.....

reina,kyrgiakos, x1, kelly, aurelio, x2, jonjo, pacheco, babel, jova, cole......


X1.... simkumbuki kabisa
X2... huyu nimemsahau jina



kazi ya daglish hii......

Sent using Jamii Forums mobile app

Christian Paulsen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom