Nimeona ratiba ni jan1 saa tano ucku
Nimeona ratiba ni jan1 saa tano ucku
Mnakomeshwa eeh! Mechi na man u, aston villa na watford hiyo var ilimnyonga liver mbona hamsemi?Kuifunga liver unapaswa uifunge liver na kuifunga VAR kwa wakati mmoja, hapo ndio shida ilipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii inaitwa nyani haoni kundule, saivi humu kumekuwa na mijadala isiyo na tija hadi kero lakini kwavile kuna uhuru wa kutoa maoni tunaacha tu kama nilivyoachwa mimi kutoa maoniSometime punguza kuishi kwa mijadala bro! Haikupi faida yeyote hii zaidi kujijengea sura ya ubishi.
That's why nmeacha kubishana na Ollachuga oc muda mwingine inbidi ujiheshimu tu aniVAR inahesabu na yaliyokubaliwa?hapo nmeweka yote yaliyoingia na kukataliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni kubishana na Ollachuga aisee
liVARpool ,, mbeleko fc, mama nibebe, itakapofika may ndio tutajua mbivu na mbichi...
Sent using Jamii Forums mobile app
You can't have 13 points gap plus a game in hand Kwa mbelekoliVARpool ,, mbeleko fc, mama nibebe, itakapofika may ndio tutajua mbivu na mbichi...
Sent using Jamii Forums mobile app
So hata Kama ukiulizwa kitu tusijibu kisa tutaonekana wabishi!!?punguza mihemko mkuu mm nimemjibu alieyeuliza Kama hana Henderson amefanya mchango wwt ndani ya misimu minne.sijaona hilo la ubishi.Sometime punguza kuishi kwa mijadala bro! Haikupi faida yeyote hii zaidi kujijengea sura ya ubishi.
So hata Kama ukiulizwa kitu tusijibu kisa tutaonekana wabishi!!?punguza mihemko mkuu mm nimemjibu alieyeuliza Kama hana Henderson amefanya mchango wwt ndani ya misimu minne.sijaona hilo la ubishi.
NB:Kama Kuna mtu anaongoza kwa ubishi na kupenda ushindani wa kuhaminisha anachokitaka yy basi ni WEWE .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mwendo huu haina haja ya kuendelea kucheza, wawakabidhi tu ubingwa wenu.. liVARccm, wazee wa viti maalumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm kutokutaja jina la King ndio tafsir kuwa na chuki nae!!?Mimi Sina chuki na yyt chief hasa tunaoshabikia timu moja plus wengi hatujuani.na siwezi kutoa pongezi kwa kila mtu mkuu lkn haimaniishi siukubali mchango yao.na kwa kuonesha Hilo PITIA POST ZA KING NGWABA NYING UNAWEZA ONA NANI UWA LIKE SANA ANACHOKIANDIKA.Kwamba katika kutoa pongezi zako umeshindwa kumpa pongezi KING NGWABA???????? Hii ni chuki ya wazi Kabisa kwa mwana.
HAPO HATUONANI TUNA CHUKI WHAT IF TUKIONANA?
Sent using Jamii Forums mobile app
You can't have 13 points gap plus a game in hand Kwa mbeleko
Either hujui soka, au uliandika ukiwa umelewa
Stats za VaR zipo soccernet.com
The goal was correctly disallowed, we have had two similar goals disallowed
Usisubiri may kujua mbivu na mbichi... Angalia Tu timu lako bovu linavyondirima kama gari la mkaa
Shubaamiittt