Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


OK, well done boy! Chose your botton to press right now

IMG_20191229_090014.png
 
man city chelsea leicester wote wamechukua ubingwa miaka ya karibuni na kulikuwa hakun VAR ila mistake hata zikitokea zinakuwa ni chache, sasa watu walitegemea kuwa VAR itakuja kufuta au kupunguza makosa hayo kwa kiasi kikubwa lakini maajabu yake ni kwamba makosa yameongezeka licha ya referee na hao maassistant wake kuwa na muda wa kutosha wa kulichunguza tukio na kulifanyi maamuzi.
Kwa hizo mbeleko hata arsenal au chelsea anaweza kuwa bingwa vizuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kikombe cha Ovyo wakati kuna Man City, Arsenal, Tottenham hawajawahi kushiriki hili Kombe tokea Timu zao zilipoundwa?

Hilo ni Kombe la Mabingwa wa Dunia ambalo Kati ya Timu 20 zinashoriki EPL ni Manchester na Liverpool tu ndiyo walioliweka kwenye Kabati then unaita Kombe la hovyo?

Angalau Timu 5 tu kati ya 20 zingebeba ungelikuwa na haki ya kuita ovyo.
Sisi tulifika fainal Sema tulizingua. Yule former manager wa Liverpool Benitez alitufelisha.

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi jana vs Arsenal kama ni upendeleo wewe na Chelsea mnajiodoa wapi...

Ile foul ya Jorginho ni kadi ndugu alitakiwa pale pale apewe kadi ya jano ya pili =nyekundu lakini wewe unayaona ya Liverpool tu ambao hawazimiki Kwa keleke za mtandaoni...

Bila VAR msimu huu inasemekana bado tungeogoza league EPL Kwa pointi 6..sasa hizo kelele mtulie tu ni wakati wetu

yaaani haya machungu mnayosikia sasa juu yetu wenzio tuliyapitia kipindi cha Fergie, akaja Mouriohno na wengine aaa iliuma sana lakini hatukikimbia tulia jua fika siku itafika tutacheka na sisi na wakati ni huu 2019 makombe matatu ya uhakika historia pia tumeandika kuwa klabu ya kwanza kutoka Uingereza kushinda Champions league, Super cup na World club Cup Kwa wakati mmoja na upo uwezekano kujirudia tena 2020 haha mjipange.. Haha hii lazima iwanyime raha sana huku EPL mapema April tunaidaka haha...

Tumevumilia miaka 30 kusubiri haya ya leo nyie wapinzani mtajijua na hali zenu sie huku mambo ni motooo sanaaa

YNWA
Commentator "Joghino was a lucky man today" hatimaye kaishia kuwafunga ...ukumuona yule Gonduzzi sjui Gudunzi ..alicheza faulo ngap lakin alipeta tu ...Sema refa naye ni binadamu ivyo alifanya fair ...lakini ninyi VAR ni kama imewekwa kwa ajili yenu tu..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom