Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Fifa World champion ni kakikombe ka hovyo tu..kipindi tunabeba hiki kikombe sikusikia hizi kelele kama mnazozipiga nyie..It's obvious mshindi wa UEFA ni champion wa Dunia
It is obvious? Na hapohapo imechukuliwa mara mbili tu na timu mbili tu Uingereza?? Mbona Chelsea hawakuibeba waliposhinda UCL? Na hiko kipindi hukuskia kelele maana hakukuwa na hii mitandao ya sasa. Kuna klabu yenye domo kuliko manchester?? Mkimfunga tu AZ ALKMAAR hapakaliki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Mimi napenda ushindi wa halali sio wa VAR ....

Refer jana mkuu ..mijitu inadaka kama inacheza rede na goal linakubaliwa tena refa anapeta tu aaaaghg huu ni ujingaaaaaaaaa

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mpira hukutazama. Ni kelele tu wapiga. Haya tazama hiyo video hapa useme kama mpira ulishikwa. WIVU UTAWAUA. Pambaneni na vitimu vyenu tia maji tia maji.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema kweli siku liverpool akichukua epl ,hakuna atakaye wapa heshima kuku nyie, coz dunia nzima inaona kuwa ni ubigwa wa kupangwa,

Coz ni aibu kubwa sana na watakuwa wameidhalilisha league yetu pendwa epl, kubebwa bebwa na var mpaka anakuwa bingwa wakat wanaume wa kazi wenye ubora wao wapo wananyimwa nafasi


Sent using Jamii Forums mobile app
We kaa na heshima yako iweke kabatini wakati sisi tukiweka kombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_7187.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 


Mimi napenda ushindi wa halali sio wa VAR ....

Refer jana mkuu ..mijitu inadaka kama inacheza rede na goal linakubaliwa tena refa anapeta tu aaaaghg huu ni ujingaaaaaaaaa

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi jana vs Arsenal kama ni upendeleo wewe na Chelsea mnajiodoa wapi...

Ile foul ya Jorginho ni kadi ndugu alitakiwa pale pale apewe kadi ya jano ya pili =nyekundu lakini wewe unayaona ya Liverpool tu ambao hawazimiki Kwa keleke za mtandaoni...

Bila VAR msimu huu inasemekana bado tungeogoza league EPL Kwa pointi 6..sasa hizo kelele mtulie tu ni wakati wetu

yaaani haya machungu mnayosikia sasa juu yetu wenzio tuliyapitia kipindi cha Fergie, akaja Mouriohno na wengine aaa iliuma sana lakini hatukikimbia tulia jua fika siku itafika tutacheka na sisi na wakati ni huu 2019 makombe matatu ya uhakika historia pia tumeandika kuwa klabu ya kwanza kutoka Uingereza kushinda Champions league, Super cup na World club Cup Kwa wakati mmoja na upo uwezekano kujirudia tena 2020 haha mjipange.. Haha hii lazima iwanyime raha sana huku EPL mapema April tunaidaka haha...

Tumevumilia miaka 30 kusubiri haya ya leo nyie wapinzani mtajijua na hali zenu sie huku mambo ni motooo sanaaa

YNWA
 
Sasa mkuu Fargie Si wazi kabisa alibebwa na marefa??? Kama ilivyo sasa mnabebwa na VAR bana

Enewei me nawatakia ubingwa mwema ila tusem tu ukweli VAR inakera kimtindo, ila ikiwa upande ni tamu balaa...

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ukweli ni kwamba VAR bado ni geni sana ndio kwanza msimu wa kwanza inatumika EPL ukumbuke pia hao wataalaam Wa VAR ni binadamu hivyo 'kupitiwa' nako kupo lakini tuendako huko mbele naamini watajiweka sawa kwani kila baada ya mechi timu zote EPL zinawasilisha ripoti zao kuhusu VAR na marefarii kusudi wazidi kuboresha..

VAR ni msumeno inakata kote kote nakumbuka wakati Manchester United wanatufunga goli lao ilianza na foul Kwa Origi mwamuzi akapeta na hatimae akafunga Rashford hivyo mzee baba hii hainaga utabiri siku inakupa raha siku unanuna..

YNWA
 
Coz ....coz.... coz....... acha upimbi
Wew kilaza hujitambui

Hivi ukiwa na akil timamu unaweza kusema liverpool kachukua epl kwa uwezp wake????

Hana lolote huyo kuku zaidi ya kupangiwa matokeo

Jana match ilikuwa clear 0-0

ila hawa kuku wakapewa point 3 za bure mezan

Then useme liverpool ni bingwa, kila mtu analiona kama wew kilaza huoni endelea kukaza ubongo ,

Bila kupepesa macho dunia nzima inajua kuwa hawa kuku wanapewa epl ,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakin hii var wapinzani msimu uliopita waliililia sana baad ya kuona Liverpool tumefunga magoli mengi ya offside.

Sasa mbona mnaanza tuzonga tena ghafla namna hii hamuitaki au? maana mkiikataa tutaanza kufunga magol ya offside tena mpk museme po wenyewe
Me naona bora muwe wapole tu maana hata uwezo wetu ni mkubwa ndio maana jezi yetu kwa sasa imechafuka vyeo tu

. Sasa achilia mbali VAR turud kwenye common sense hiv timu gani kwa sasa inakifua cha kuifunga LFC ?(labda tuanzie hapa)
last season var ingekuepo tungekua mabingwa, city alifaidika sana kwa magoli (maamuzi) yasiyo halali

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom