el nino
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,712
- 5,065
Bangi na tambuu zinawasumbua...
E.P.L umebeba lini? ,licha ya kubebwabewa hovyo na Man city kukandamizwa bado hamuonyeshi threat yeyote ile kwa watu tunaowajua vizuri..
Its a matter of time, mtaanza kuja kutukanana humu, liVARpool ni haina uwezo wa kuwa bingwa wa premier league
Sent using Jamii Forums mobile app
E.P.L umebeba lini? ,licha ya kubebwabewa hovyo na Man city kukandamizwa bado hamuonyeshi threat yeyote ile kwa watu tunaowajua vizuri..
Its a matter of time, mtaanza kuja kutukanana humu, liVARpool ni haina uwezo wa kuwa bingwa wa premier league
Please leo tusiharibiane siku ya Furaha! Naomba Mtu yeyote asiniquote post ya Mijadala ya kimabishano.
Nipo na furaha ya kubeba EPL jamani
Sent using Jamii Forums mobile app


