Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I always tell people, we have been on the other end, I remember times when Fergie was winning everytime, we used to condemn Man Utd fans due to favors they were attracting. Sometimes it was true, though most of the times it was because we were poor in form and we couldn't accept it, so we had to find an excuse.

This time around, we are on this good end, all the universe are conspiring to make sure that EPL is secured, new records are set and we become the Team that we were destined to be.

One question any of us should ask oneself is, wouldn't you say the same if you were on their end?

If the answer is yes you would, then let them release their angers, this is Football.
Seconded...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema kweli siku liverpool akichukua epl ,hakuna atakaye wapa heshima kuku nyie, coz dunia nzima inaona kuwa ni ubigwa wa kupangwa,

Coz ni aibu kubwa sana na watakuwa wameidhalilisha league yetu pendwa epl, kubebwa bebwa na var mpaka anakuwa bingwa wakat wanaume wa kazi wenye ubora wao wapo wananyimwa nafasi


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kusema kweli siku liverpool akichukua epl ,hakuna atakaye wapa heshima kuku nyie, coz dunia nzima inaona kuwa ni ubigwa wa kupangwa,

Coz ni aibu kubwa sana na watakuwa wameidhalilisha league yetu pendwa epl, kubebwa bebwa na var mpaka anakuwa bingwa wakat wanaume wa kazi wenye ubora wao wapo wananyimwa nafasi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Dada,, mmenyimwa nafasi na ubora wenu,, kazi kweli kweli! Hivi Manure nayo ina kikosi ambacho unaweza kujivunia?
 
Kusema kweli siku liverpool akichukua epl ,hakuna atakaye wapa heshima kuku nyie, coz dunia nzima inaona kuwa ni ubigwa wa kupangwa,

Coz ni aibu kubwa sana na watakuwa wameidhalilisha league yetu pendwa epl, kubebwa bebwa na var mpaka anakuwa bingwa wakat wanaume wa kazi wenye ubora wao wapo wananyimwa nafasi


Sent using Jamii Forums mobile app
Coz ....coz.... coz....... acha upimbi
 
Hata enzi ya kilele cha mafanikio ya Fergie wapo walioamini baadhi ya marefa walikua wanawapendelea Manchester United na sana sana Webb...

Hivyo hayo ya VAR si jambo geni Kwa vile Liverpool majogoo wanafanya vizuri..

Mti wenye matunda ni ngumu kukwepa kurushiwa mawe...

Tumesheheni matunda murwa kabisa kombe la UCL, Super Cup ulipigika vizuri kabisa na kubwa lao kombe la Dunia Kwa ngazi ya vilabu na tunaongoza ligi Kwa pointi maridadi kabisa 13 na mchezo mkononi.. Sasa mpaka hapo Ollachuga Oc hatutegemei mtukumbali kwamba tunajua mbali mtarusha vimaneno huku na kule ila wenzio hatukatishwi tamaa tupo ngangari kinoma...

YNWA
Sasa mkuu Fargie Si wazi kabisa alibebwa na marefa??? Kama ilivyo sasa mnabebwa na VAR bana

Enewei me nawatakia ubingwa mwema ila tusem tu ukweli VAR inakera kimtindo, ila ikiwa upande ni tamu balaa...

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klopp haangalii sura, yeye anaua kiumbe chochote kinachojipendekeza mbele yake...endeleeni kuchonga, sisi tunakusanya pwenti tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi Chelsea hatukuwahi kubeba ubingwa kwa kiumbe chochote kile...

Kwanza hauna mtu wa mchambuzi yeyote aliyewahi kusema Chelsea atabeba ubingwa ...lakini tulibeba..

Man united alibebwa na Marefa, Man City alipigana kufanya kupona, ninyi munabeba na VAR ..ivyo ndo maisha yanavyokwenda bana

Kila la kheri..

#CFC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fifa World champion ni kakikombe ka hovyo tu..kipindi tunabeba hiki kikombe sikusikia hizi kelele kama mnazozipiga nyie..It's obvious mshindi wa UEFA ni champion wa Dunia

Kikombe cha Ovyo wakati kuna Man City, Arsenal, Tottenham hawajawahi kushiriki hili Kombe tokea Timu zao zilipoundwa?

Hilo ni Kombe la Mabingwa wa Dunia ambalo Kati ya Timu 20 zinashoriki EPL ni Manchester na Liverpool tu ndiyo walioliweka kwenye Kabati then unaita Kombe la hovyo?

Angalau Timu 5 tu kati ya 20 zingebeba ungelikuwa na haki ya kuita ovyo.
 
Kusema kweli siku liverpool akichukua epl ,hakuna atakaye wapa heshima kuku nyie, coz dunia nzima inaona kuwa ni ubigwa wa kupangwa,

Coz ni aibu kubwa sana na watakuwa wameidhalilisha league yetu pendwa epl, kubebwa bebwa na var mpaka anakuwa bingwa wakat wanaume wa kazi wenye ubora wao wapo wananyimwa nafasi


Sent using Jamii Forums mobile app

Liverpool hata ingebeba Kombe kwa kwa kukata miguu ya wachezaji wake pia musingeipa heshima.

Tumebeba UCL nani aliyetupa heshima?

Temebeba Super Cup nani aliyetupa heshima?

Tumebeba Club World Cup nani aliyetupa heshima?

Sisi hatutarajii heshima za Haters, Bali heshima tunajipa wenyewe.

Subiri May uone Kops tutakavojipa heshima ya kusomba kila kitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom