Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naona Liverpool tulihitaji sana hii Carabao cup ili kufanikisha kubeba vikombe zaidi ya vitatu msimu huu
kwa hatua tuliyofikia ni vema wahusika wakae waliangalie hili swala ratiba ihairishwe na tutafutiwe muda mwingine ili tuje tukadhughulikie vizuri haka ka aston villa
 
Ohh man... Initially alikua awe nje ya uwanja Kwa wiki 6 sasa kwa vile ni jeraha la kujirudia yaaani aliumia akapona aafu akaumia tena goti hilo hilo, sasa kutokana na hilo amepewa muda wa kutosha apone aafu atafute match fitness ina maana kwa kurejea uwanjani ni kuanzia 2020 Januari...
noted with thanks!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG_6950.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom