Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Tutazinywa na kuzikojoa kwenye vyoo vyao wenyewe. Allianz ArenaSalama ndugu...
Bavaria zinawasubiri kwa wingi ujeremani
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutazinywa na kuzikojoa kwenye vyoo vyao wenyewe. Allianz ArenaSalama ndugu...
Bavaria zinawasubiri kwa wingi ujeremani
Naona kama King Lampard mbinu zimeisha nguvu matokeo hayaridhishi...
Hahaa.. Kama unanikejeli ivi, ila fresh ngoja tupambane. Na nyie msijisahau wale vijana wa El Chollo huwa hawaelewekagi.Naona kama King Lampard mbinu zimeisha nguvu matokeo hayaridhishi...
Ningependa mvuke hii raundi pengine twaweza kutana..
Chelsea vs Liverpool Champions league hua noma sana..

Duh... mbona utakuwa msala huo.Vvd hakuwepo mazoezini am worried aisee
Acheni tu
Ingawa wanadai sio injury but why
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal niwapuuzi sana wanamuachaje huyu mzee mzoefu wanataka wampe Arteta wasubirie kushuka daraja sasa.Carlo naona kama atakuwa anajishusha hadhi yake tu... Everton?View attachment 1294487
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi hakuna mzee hana namna anachukua tu hiyo offer.Carlo naona kama atakuwa anajishusha hadhi yake tu... Everton?View attachment 1294487
Sent using Jamii Forums mobile app
Real madrid anamfungashia city virago mapema sana
wazee wa uefa hawatakubali kuishia 16
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii game nyepesi sana kwa city. Muda utaongea. Tuombe uzima
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Ha ha ha ha ha ha...mzee anaenda kumalizia career yake pale.Kazi hakuna mzee hana namna anachukua tu hiyo offer.
Wakati alikuwa anaweza kaa team kama Arsenal au United hakuna kocha warecord kumzi yy kwenye hizo team.
Hahaha hapana sio kejeli, ukweli ni kwamba nilitarajia Epl mtakua nafasi ya 10+ Kwa vile ham kusajili pia mna meneja 'mgeni' wa EPL, mliuza star player Eden na majereha Kwa key players yamewagharimu hivyo mme jitahidi sana mpaka kufika 16 bora UCL..Hahaa.. Kama unanikejeli ivi, ila fresh ngoja tupambane. Na nyie msijisahau wale vijana wa El Chollo huwa hawaelewekagi.
Sent using Jamii Forums mobile app