Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Naona Mane tayari ameshaingia katika Kipindi chake cha kupoteana
Hawa liVARpool wanapigika vizur tu, tulieni Watford msiwe na papara mkifika golin, zipo kama 3 hapo wazi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jones and Grujic ndio future yetu pale kati..Kama nilimuelewa kocha hawezi kumuingiza mtu katika team ambayo inashinda hapa inamaana anakhofu ya kuharibu kwa sasa mazingila yamememlazimisha kufanya rotetion na imekua bora zaidi nataumai sasa atajiamini na kumpanga yeyote kwa namba husika na si kukariri kikosi kimoja mpaka inaboa kuangalia kwa walivyo choka.natumai pia vijana watapewa nafasi kutegemeana na mechi kama ilivyokua kwa Jones juzi nikimuona Glujic namkumbuka Gerrad natumai pia atapewa nafasi msimu ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha bado kaka.. Tema hayo mate chini.. 🤔🤔🤔😂😂Naona Mane tayari ameshaingia katika Kipindi chake cha kupoteana
Kama mpira wenyewe mnaocheza ndio huu, basi mkikutana tena na hao washika bunduki matokeo yatakuwa kinyume chakeFT:
Liverpool 3 - 1 Arsenene
Hahaha vituko haviishi..ndio maana binamu wake Steve na Camacho wametukimbia..Naskia next week lallana anasign mkataba wa miaka 2
Mechi ya fainali vs spurs UCL ulielewa tulichokicheza au ulikuja kuelewa matokeo?Hivi munaona tunachokicheza? Mbona hakieleweki?
Meet present and our future...
If that were true go and check the league position...
CL na super cupHivi hapo kwenye trophies tunahesabu CL na nini?
Average team with average players that scored you and man city 3 goals


Kama hii idea ya Klopp ya signing young players with potential ku supplements aging players then tutakua pazuri mno tuedako hata Klopp aking'atuka...Hiyo nakaribia kusema ni lazima ingawa sio lazima akiondoka Klopp kwanza tutapitia wakati mgumu hata aje kocha gani!
Lakini kama nilivyotabguliza mwanzo si lazima iwe hivyo! Anaweza kuondoka Klopp na still tukawa vizuri.
Pole na kazi ndugu...Wacha nimalizane na hii issue mapema ili saa 15:30 nitulie kwenye game yetu.
View attachment 1292059
Hahaha yupo macho Sana Leo...Muamsheni King Ngwaba jamani, mechi ni saa tisa na nusu saa za Afrika Mashariki, sio aje ashtuke Salah kaondoka na mpira Mane katumbukiza 2 na wengine wameongezea 7 akaona 7 bila aanze kushangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya fainali vs spurs UCL ulielewa tulichokicheza au ulikuja kuelewa matokeo?