Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kama nilimuelewa kocha hawezi kumuingiza mtu katika team ambayo inashinda hapa inamaana anakhofu ya kuharibu kwa sasa mazingila yamememlazimisha kufanya rotetion na imekua bora zaidi nataumai sasa atajiamini na kumpanga yeyote kwa namba husika na si kukariri kikosi kimoja mpaka inaboa kuangalia kwa walivyo choka.natumai pia vijana watapewa nafasi kutegemeana na mechi kama ilivyokua kwa Jones juzi nikimuona Glujic namkumbuka Gerrad natumai pia atapewa nafasi msimu ujao

Sent using Jamii Forums mobile app
Jones and Grujic ndio future yetu pale kati..
 
HT. 1-0 gaol la Salah, assist ya Mane. Tumefanya makosa mawili karibia yatugharimu. Uzembe wao tu wangekuwa mbele kwa 2-1.

Sijaona mchango wowote kwa big shaq. Game nayo ilikuwa imepoa haona zile amsha amsha. Yote kwa yote tunaongoza kwa bao 1.



Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Average team with average players totally overrated.

Sent using Jamii Forums mobile app
Average team with average players that scored you and man city 3 goals
And barcelona plus bayern seven goals

An average team that have reached europe final back to back

Bottled epl title...


Have some respect for this average team mani

They are wonderful

And they mean love

We have no hate for you

You are welcome on this average team with average players and average fans

# 10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo nakaribia kusema ni lazima ingawa sio lazima akiondoka Klopp kwanza tutapitia wakati mgumu hata aje kocha gani!
Lakini kama nilivyotabguliza mwanzo si lazima iwe hivyo! Anaweza kuondoka Klopp na still tukawa vizuri.
Kama hii idea ya Klopp ya signing young players with potential ku supplements aging players then tutakua pazuri mno tuedako hata Klopp aking'atuka...

Hii phase lazima iwe Well planned...
 
1st goal. Salah
1576329385151.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom