Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenye game, baada ya Klopp kumtoa Bobby, akampeleka Keita as a 10, i think he's trying to test him there, as hata kipindi cha pili chote alikuwa anacheza at the tip of the front 3, huku akisaidia kublock Salzburg pressing game with his possessional passes (explained kwenye post ya juu).

his ball progression is second to none, if he stay injury free, then him & Salah will create a very deadly link up, and its siyo kwa bahati mbaya kwamba Salah ameanza kurudi kwenye form yake baada ya Keita kuingia kwenye first team, against Salzburg, Keita alimtengenezea chances kama 2-3, but zote akazimwaga.

Nina clip nzuri sana ya Keita, but nadhani hamna options ya ku-share clips humu, but tungeelezea his game agaist Salzburg bit by bit.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dear Klopp play Keita as a 10 man at last we might see a glimpse of what we paid all the money for and after all the injuries he has some scores to settle...
 
Gomez is slowly back in his last season form...



Sent using Jamii Forums mobile app
Man this is one of the best development at the back for us with Matip out and Lovren being Lovren we needed this guy to step up and give us what once we saw last season before he got injured..

Keita back to full fitness, Gomez stepping up when we need him most..

With Gomez we have kept two clean sheets that a statement..
 
Duu, mechi ilikuwa na viatu hiyo, jamaa walinyimwa penalty ya wazi kabisa, refa alikuwa anasimama anasubiri wapigane kwanza, hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha yaaani enzi hizo ndio ilikua Manchester vs Liverpool maana jamaa walikua na mafanikio balaa ila tukikutana ilikua mchakamchaka Sana...

Sasa Manchester United ndio wapo tulipokua enzi hizo, duh kweli tumepindua meza kibabe, na itakua balaa kwao pale tunapopata EPL msimu huu aaa... Watatoa macho mno na kujiuliza maswali ambayo tumejiuliza Kwa miaka 30 bila majibu...
 
JURGEN NORBET KLOPP..


dont care about Bill shankly or Paisley..



THIS NAZI BASTARD IS THE BEST MANAGER TO EVER WALK UNDER THE ANFIELD LIGHTS.


HIS NAME IS NEEDED KWENYE STAND MOJA YA ANFIELD, THE KLOPP END.



HAHAHAHAHAHAHAHAJAHAJAJAJAHAHAHAJAHAHAHAJAHAHAJAHAJAJAJAJAJAJAJAHAHAHAHAHAHAHAJAHAHAJAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAJAJAHAJAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHA



HOW YOU DOING??????????????????????



Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha if he can nail this year EPL bana and with the modern competition in the league now he will be nearing Bill Shankly and Paisley among the Liverpool all time greats..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom