Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6901.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Brother, you know the vibes..

Hili suala la LFC-based medias kuwa na upendeleo na baadhi ya players, needs to stop.

unakumbuka back in 2009, wakati Benitez anagoma kumuongezea mkataba Carragher, as he thought he wasnt good enough, the LFC-based media wakavalia njuga hiyo ishu na ku-side na Carra, mpaka kupelekea Beniteza kupoteza kazi yake (moja kati ya sababu kubwa sana za Benitez kuondoka LFC)..and malipo yake yalikuwa ni LFC kuingia kwenye dark days, i believe Benitez angebaki beyond 2009 instead of Carragher, tusingeingia kwenye banter era, hata kama pesa hatukuwa nayo.

Brother, LFC fans wa Tanzania huwa hawajisumbui kusoma hizi intakes/articles za magazeti ya LFC kuhusu players, kama tu racial profling aliyokuwa anafanyiwa Sturridge wakati wa majeruhi yake, racial profling aliyofanyiwa Fabinho mwanzoni mwa msimu uliopita, na hii ya sasa wanayopitia Keita/Ox na Gomez haijafanya hawa fans wa Tanzania waone kuna tatizo katika medias za Jiji la Liverpool, then sidhani kama watakuja kuelewa.

Black players/Foreign players huwa wanakuwa subjected to unfair criticism kila siku, and its funny kuona BLACK LIVERPOOL FANS wanafurahia/kuona ni fair kwa their beloved African players wanakosolewa/kuwa scape-goat kwenye makosa ambayo siyo yao kabisa, nakumbuka kuna siku nilisoma article ya wale "The Anfield Taw" na Tom, the writer wakati anamsifia Mane akaandika kuwa he's moving like a CHIMPANZEE, kila akiwa anakimbia. unajiuliza katika wanyama/vitu vyote duniani aliona ni heri kumfananisha Mane na CHIMPANZEE (Sokwe),

But, fans, especially black fans, watakuita majina ya kila aina ukisema "Henderson treats the ball like a grenade" which is not an offensive language at all, but watakaa kimya pale mchezaji wa ki-africa na most important player Sadio Mane, kufananishwa na SOKWE na LFC-based medias.



Sent using Jamii Forums mobile app
Very true

The stick naby amepokea Kwa kuwa injured ni mbaya mno, while we waited for agger for years without sticks
 
We've won the Title already.


kama tukishindwa kubeba kombe from here, then tutakuwa na matatizo makubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
I tell you if this is not our full shangwe year then man we are so doomed si mchezo..

It's can't get better than this mate.. Leading the pack with 8 points and not showing any signs of slowing down any time soon..
 
Rodgers is a very good attacking, i deny that, but ni coach anae-thrive kwenye teams zilizotengenezwa tayari, ile Leicester kaikuta tayari ina msingi imara, wa kina Madisson/Tielemans/Ndidi/Perreira/Chilwell/Barnes/Gray/Evans/ and the main man Vardy, nadhani yeye aliongeza Ayoze na soyuncu(?),

ni kama at LFC, alikuja na kukuta tayari kuna msingi wa kina SG/Suarez/Agger etc TC ikamuongezea Coutinho & Sturridge, ilipofika muda wa ku-build team from the scratch baada ya Suarez & then Sterling kuondoka, ndiyo akatuletea Balotelli/Lambert/Lallana/Lovren/Benteke etc.

Na hiyo, Leicester, msimu ujao sidhani kama Madisson/Tielemans or Ndidi watabaki, sasa tabu itakuja kwenye kuwa-replace hao wachezaji, hapo ndiyo Leicester fans watakapomjua Rodgers vizuri.

I hate him because alimfanya Agger alie kwenye dressing kwa kum-treat vibaya, & i hate him even more kwa kutaka kuharibu career ya Firmino, even worse kuharibu kabisa career ya Markovic.

Sent using Jamii Forums mobile app
Man don't mention those craps I mean Lambert is die hard Red fan but how did Rodgers even think he can be our new Surez just cz he had a good season down at South Coast...

Benteke was damn good scoring against us but same dude he couldn't score for us and all the chums we paid lol we are lucky at least we recovered some from Palace..

Lallana, Lovren in Reds modern day can't even have their agents callings ours, how they ended up with us is total loss and proper definition of what's to expect if Foxes sell their stars come June 2020..

Man for Markovic he came from Benfica loaded with proper skills of a winger but boy was not even afforded the right environment to thrive.. We paid around $20m for this kid only to come and halt his development completely..

Rodgers is weird guy do you remember he even benched Steve away at Madrid in UCL a game we needed to win to progress and man Steve was a bit not okay with that..

Man when I think of what befall Agger I become speechless, he messed the boy kabisa..

Am just surprised the Foxes have/are given him another 5 yrs on his contract, its will cost them...

Good for Arsenal that he can't join them.

And its true even before he joined Foxes played damn well and they are well drilled, The only side that I can say him and Toure have upped their game is defence, they are leading the League with that so solid and compact at the back, when he worked for us we were chipping goals like crazy at least there I give thumps up....

If we can beat them at Kings Power Stadium then am positive having a 11 points lead is more cool and will set the tone come 2nd round..my assumption on that is if they win their next three games starting with vs Citizen.. Game on kazi bado ipo
 
Looool

nimecheka, si walipigwa 4 hii?

baada ya hii game Rodgers ndo akaanza kuvimba kichwa kuhusiana na title race.


haha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha Villa walianza Kwa bwebwe ni kasema my namba 2 Leo anapigika kumbe ilikua nguvu ya soda walikuja wakaachie Vardy akawa anafanya yake..

Sasa Rodgers ndio anaelekea kupotea angejikalia kimya tu aache vijana wafanye yao..

After wrapping up the trophy at Qatar we will unbox them kwao Kings power.. What's a boxing day will be...
 
Tena ndo afunge kama lile goli alilowafunga Chelsea 3yrs back (if am not mistaken) pata kuwa hapatoshi
Yeah it's 3 years back on a Friday night away at Chelsea during Conte reign haha..

Hendo is just Hendo he has been here since time in memorial and boy lacks simple basic of football.. Sasa akitokea akapata ka upepo kama haka basi wenye kumkumbali inakua raha kama zote..

To me Hendo is a super bam..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom