Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jamani tuzidishe kushikamana!
Tupo sawa jamani
Tumeongoza kundi
Mechi ilikua nzuri sana na vijana wamepambana!
Thank you Liverpool
Thank you Klopp
 
17bd8c36-10f6-468c-995d-3b7f204bbc5a.jpg

Thank you BIG DADDY
From laughing stocks up to most feared team around the global
 
Hawa sarlzubrg wakituacha salama hawa sijui....na yule dogo wao mwenye sura mbaya anafunga kila mechi...inamaana tayari wana goli 1...inabidi tuanze na magoli 2 mapema

Ahahaha
Mkuu bana mechi decisive Sozibag hawezi mtoa Liverpool,labda ingekuwa mechi isiyo na madhara
 
Some colleagues of me thought we will be scored off

I told them

This is liverpool....!!

And it means more

YNWA
 
16 bora
2nd leg ni Anfield (hapa tushaenda quarter final)

Mo wakati anakosa magoli ya wazi kuna watu walikuwa wanalalamika na kutukana nikawaambia tulieni kuna mahala atawafurahisha, man that goal from another planet... (na nikanunuliwa mbuzi choma kabisa)

Keita that kid

Mane is man

Watford is next, let's get our 3pts
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom