Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mimi naona katikati iwe keita, wajnadum na ox. Hawa vijana ni wepesi wanahitaji viungo wepesi wenye unyumbulifu
Jk Leo atupangie kikosi hiki tusilaze damu maana wale watoto wana tabia mbaya sana:-
Alison
TAA. GOmez VVD. Robo

Milner. Hendo. Ox.

Salah. Firmino. Mane.

Sub.
Adrian
Lovren
Gini
Keita
Shaq
Jones
Origi

#YNWA.
 
IMG_6873.JPG
 
Salzburg lazima wanywe damu ya Jogoo leo.

Haaland anawaangaliaaaa halafu anasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Mimi naona katikati iwe keita, wajnadum na ox. Hawa vijana ni wepesi wanahitaji viungo wepesi wenye unyumbulifu
Umetisha mzee baba naona ndo maana kamuanzisha Gini na keita wanaweza saidia ila sasa wakianza kuja hawa watu kama mvua maana wapo kwao na wanauchu kuweka historia usishangae akatoka mmoja wapo akawekwa Gomez ama milner awapige pige viatu watulie pale kati bado tunamiss huduma ya fabby na hayupo ila kwa pamoja tutashinda ..
Hii game ya kiufundi zaidi na hizi mechi za presha ...naimani tutapita kwa sababu tunaexperience ..uzuri nje tuna watu wakutubadilishia game plan na score board anytime sawa tunakubali (Football without Origi is nothing) tusimsahau na mnyama Ox pia..UCL na upepo wake upo kwake.
#Come oon The reds
#YNWA
liverpoolfc-20191210-0001.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom