Sasa wamlete huyo kiherehere atakaekamata nafasi ya Pili kwenye group lake
.Salzburg lazima wanywe damu ya Jogoo leo.
Haaland anawaangaliaaaa halafu anasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
He was very good today
Mkuu unacheza namba ngapi?.nataka nijue unamueka nani benchi?
![]()
Walilewa Redbull wakaenda kulala mapema! Chezea Liverpool wewe!!Wapi mashabiki wa salzburg?
Umenitisha balaa... Yaani nimeogopa kinomaJiheshimu we mzee .
Jinga kabisa wewe .
Usijifanye unajua shit sana . Nitakutemea shit mpaka ujihisi we ni mavi .
So let's not get there
We jidanganye tu . Dawa yenu inaiva robo fainali mtanyooshwa tu
Faby na Keita pale kati. Hiyo nafasi moja watagombania waliobakiaDude keita sidhan kama kuna mtu anaweza mpiga benchi keita kama akikaa fit kabisa hamnaaaa
We jidanganye tu . Dawa yenu inaiva robo fainali mtanyooshwa tu
Faby na Keita pale kati. Hiyo nafasi moja watagombania waliobakia