Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Hongereni sana vijana kazi nzuri sana
HahahahahahahahahSalzburg mpira wanaocheza sio wa sayari hii . Wananikumbusha dortmund ya 2013-2015
Aisee wanatuangusha Kwa muda sasa tazama majereha ya Keita, Matip, Allison na Leo Lovren nadhani itabidi waji tadhimini sanaNadhan walimlazimisha tu ..
Aisee wanatuangusha Kwa muda sasa tazama majereha ya Keita, Matip, Allison na Leo Lovren nadhani itabidi waji tadhimini sana
Mkuu tupo wengi, mm nimeangalia first wakati nakaribia second half dstv wakanikatia package aiseeeee kumbe nilikuwa nimefikia mwisho, nikakomaa kulipa kutafuta hela kwa simu usiku narudi hewani dk 79Duh! Imekula kwangu...
Yani nasubiri ifike SAA 22:45 ili niangalie game! naingia kwenye mtandao kuangalia Line-Up hatimae naikuta game ipo dakika ya 63'![]()
![]()




Aisee mpaka sasa na wasiwasi nao Sana hawa jamaa..Kuna siku MosDef alizungumza uzeme wa Medical staff ya Liverpool, kuna Mtu hapa akahoji usahihi wa kauli ya MosDef
Aisee mpaka sasa na wasiwasi nao Sana hawa jamaa..
I mean how did Lovren pass the fitness test and afford his starting place..
Maswali ni mengi kuliko majibu..
Aisee mpaka sasa na wasiwasi nao Sana hawa jamaa..
I mean how did Lovren pass the fitness test and afford his starting place..
Maswali ni mengi kuliko majibu..
Ni kawaida kwa mke wa kwanza kuwa na gubu pale mmewe anapoamua kuoa mke wa pili...Leo liver fools mtalala na viatu .
Tumbafu nyie
Dude keita sidhan kama kuna mtu anaweza mpiga benchi keita kama akikaa fit kabisa hamnaaaaNaona kila dalili Keita kumpokonya Mtu namba
sub lovren in Gomez and get cleansheetPlaying Naby Keita, Get Clean Sheet
Clean sheets mbili kwa mpigo