Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6847.JPG
 
Wakati mwingine hufanani kabisa na watu wa liverpool, liverpool ni timu ya watu waungwana sana duniani

Wanao tukana wachezaji wetu ndiyo waungwana?
By the way Mungu-Mtu wenu wa soka sasa ni points 14 clear!
Aibu
 
If we dont beat this fatigued & un-motivated City team to the TITLE this season, Then, God will never give us another clear opportunity ya kushinda hii TITLE.
We have WON the TITLE already.

now, the main focus should be breaking Arsenal's invicibles record, kama hiyo itashindikana, then hitting 100 points, wont be bad pia.

But, the League is already a wrap, haina haja ya kujipa wasiwasi.

City now, wanatakiwa wapoteze mchezo MMOJA tu katika games 22 zilizobaki ili wawe na chance ya TITLE, which is, kwa form yao ya sasa, sidhani kama hawatapoteza mchezo zaidi ya mmoja, they've got Arsenal/Leicester and Wolves next.

The TITLE race is mathematically done.
 
We have WON the TITLE already.

now, the main focus should be breaking Arsenal's invicibles record, kama hiyo itashindikana, then hitting 100 points, wont be bad pia.

But, the League is already a wrap, haina haja ya kujipa wasiwasi.

City now, wanatakiwa wamepoteze mchezo MMOJA tu katika games 22 zilizobaki ili wawe na chance ya TITLE, which is, kwa form yao ya sasa, sidhani kama hawatapoteza mchezo zaidi ya mmoja, they've got Arsenal/Leicester and Wolves next.

The TITLE race is mathematically done.
Man!! any transfer news on January yet?!
 
the same Liverpool fans who wants Klopp out are the same fans who wanted Benitez out, and well i guess it turned out well that time, because since that Benitez sack we have had stooges like Hodgson/Daglish/Rodgers managing this club.

they think because FSG got Klopp basi wanaweza kupata another world class manager LOOOOOOL.

Klopp rejected Utd and Bayern kabla hata ya kuachia ngazi Dortmund, aliamua kuchukua likizo ndefu nje ya mpira, but aliivunja likizo baada ya kusikia anahitajika LFC, we approached him mid season tukiwa katika hali mbaya and he agreed to join us, wakati he said no to financial power house like Utd and Bayern. Klopp is a die hard liverpool fan, he loves this club, alijua mzigo atakaokuwa nao but he accepted the job ambayo legend Don Carlo aliikataa (and he's been supporting this club since 1988).

so if you think Klopp joined us because of money, you're so wrong. coz kama money ndiyo ilikuwa factor angeenda Utd/Bayern ambapo angepata kila kitu.

and Klopp will walk, FSG have no audacity and guts to sack a world class manager like Jurgen Norbet Klopp. and thats why Dortmund couldnt sack him either, they let him walk and you know why he walked at Dortmund, because he got tired of them selling his best players.

and honestly i know for a fact that, Pep and Mou are wondering why he's wasting his career at this shit Club. Pep drew at anfield last season and saidi in his post match presser that "it was his biggest result of the season", after he won 5-0 at etihad this season he said 'bado haamini na matokeo yale ndo yaliipa team mwamko mkubwa mpaka sasa", and you have mourinho parkinh the bus kila game anayocheza na Klopp despite having a good squad than him. you know why these world class managers respects Klopp? because they always need to spend a lot to beat him and creating a gap while he's pinching above his weight with henderson as a captain.

Fans wanted Benitez sacked and baadae wakagundua kuwa tatizo lilikuwa ni Hicks and Gillet, and now they want Klopp sacked without realizing tatizo kubwa lipo wapi. well, good luck kwenu kama mnadhani FSG watamsign Allegri/Sarr/poch etc kama Klopp akiondoka.
Well, the looong fight is paying off massively.


He has won us the LEAGUE TITLE in December.
 
Liverpool fans are actually blaming Klopp for this january disaster???? lol

Klopp was 100% responsible kwa blunder za last january, coz alikataa kuongeza squad players kwa ajili ya squad depth hasa baada ya injuries za Mane na Coutinho, and i remember spending muda wangu wote humu bashing Klopp for his stubbornness.

But this January? NO. Klopp is not responsible at all, matter of fact he's been trying to push this squad above its limits, and i pity him.

FSG just sold our best player in mid season without having the plans of replacing him, sahau kuhusu kumreplace, club gani duniani inauza mchezaji wake muhimu aliyebakiza miaka minne kwenye Mkataba wake katikati ya msimu? na managergani duniani ambaye atafurahia kitendo hicho? huwa tunaambiwa kuwa Klopp ana last say kwenye Transfers but hii blunder ya Coutinho inaonesha wazi kabisa kuwa Klopp is just another "rodgers" to FSG, and you have puppets like pearce and Bascombe telling LFC fans that it was Klopp call to sell Coutinho in January, really? yesterday interview ya Klopp inaonesha wazi kuwa he is pissed, na ni wazi kabisa he expected Coutinho replacement but FSG wame-mlet down big time na honestly if FSG dont get their acts together, he will walk in the summer.

Liverpool fc is just a business to FSG, they will never invest their own money kwenye Club, policy itabakia kuwa ni ile ile, "Sell to buy", watu wanajiuliza hela ya coutinho (142m) iko wapi? the truth is hela hiyo ndiyo imetumika kumnunua Van Djik na Keita. FSG failed to buy VVD in the summer kwasababu hawakuwa na 75m, hence Werner leaked that "blackpool meeting" to ruin the deal, Klopp was pissed for missing out on VVD, na FSG walijua hilo, na ndiyo maana in january they invited Barcelona to bid for Coutinho ambaye tayari alikuwa ameshampromise Klopp na his team-mates kuwa atabaki mpaka Summer na Barca walikuwa wanalijua hilo, but FSG lied to Klopp and sold coutinho kwa kumdanganya kuwa watamchukua Keita early this january, and apparently Lepzig wanted the premium of 17m kwa ajili ya kumuachia keita hii january kinyume na makubaliano ya summer, but FSG refused pay that money. again they toyed with Klopp.

we used to struggle ku-unlock deep block teams with Coutinho (one of the best creative midfield in the world), and now imagine us trying to unlock a deep block team with Chamberlain. team inahitaji creativity, we are lacking creativity but FSG wont care about that.

i used to blame Klopp for his shit tactics, because alikuwa na one of the most talented players in the game (Coutinho), in the midfield. game kama ya swansea ambayo hatukuwa katika our best tungekuwa na coutinho game ingeisha 1-1, coz angepull something out of nothing but now hatuna mchezaji wa namna hiyo, Firmino/salah/Mane are good players but bila ya kuwa na mtu wa kusupply mipira kwao with accuracy in tight spaces hakuna watakachofanya, kwasasa watafanikiwa kucheza vizuri kwa teams ambazo zitaturuhusu ku-press na kutuachia space. kwahyo whatever the results kwasasa i will never blame klopp, we all know we have shit keepers and sadly reports zinasema Klopp wanted Allison Becker this january, and FSG told him mpaka summer ambapo nadhani watamuuza mane/salaha kufund hiyo signing.

and your so wrong if you think a manager who coached Lewandowski/gotze/reus, rates Ings and Sokanke, and your incredibly wrong if you think it was Klopp decision to loan out Origi for Solanke. we all blamed Klopp for sacking Sakho for taking fat burners but its clear now, it was the club that sacked sakho, hii ni kutokana na hii ishu ya Flanagan ambaye ana case ya assault kwa kumpiga girlfriend wake, mpaka sasa Flanagan yupo LFC, na anaendelea kuearn 50k per week, but Sakho was sacked for only taking fat burners ambapo baadae he was proved no gulity. pure racism from the Club, flanagan is still at LFC is local, scouser and british, same goes to Solanke and ings, they got favoured by the Club because Origi is kenyan and plays for belgium. all of this proves that Klopp have no "say" in the Club. and its sad because Club pays attention more to Daglish/rush opinions kuliko manager mkuu wa team.

Klopp ana weakness nyingi pia, but now we have to consider what he has in his disposal, you cant expect him to compete with Pep/Mou na players aina ya ings na solanke huku creative midfielder wakiwa ni chamberlain na Lallana. Coutinho is world class player, him/mane/salah/firimino walikuwa na uwezo wa kuiumiza team yeyote ile, and thats why tulikuwa tunamoan kuona klopp akishindwa kuwa na game management nzuri but now how can you blame him? he has chamberlain supplying for the front three, and did he want Coutinho out? NO. na je anataka Emre Can aondoke? NO. but FSG are refusing to give what Emre Can wants. lol we had everything agreed for Goretzika, but after we sold Coutinho, he changed his mind and signed for bayern (wont be a starter there thats why he wanted LFC) you know why he changed his mind? because every player in the world wants to player with world class players.

if Klopp gets us top four this season with this squad, he will go down as the best manager to ever coached this team. Houllier had peak Owen/Mcmanaman/Fowler/hyppia/hamann/riise/finnan/kewell/anelka/baros etc, Benitez won UCL with Dudek/Carra/hyppia/Finnan/Riise/Smicer/SG/Baros/Alonso/Kewell/Lucho Garcia (maestro) and he went on to sign Macherano/Torres/Agger/Reina/Aurelio/Skrtel/Riera etc. Rogders had SG/Suarez/Sterling/Coutinho/peak Sturridge/Agger. Klopp now has only four good players (Firmino/Salah/Mane/VVD). Emre can is decent but angeanza kwenye team ya Houllier/Benitez/2013/14 rodgers? NO. and apart from that we have lallana/Ings/milner/lovren/Mignolet/Markovic etc wote hawa walisainiwa na Rodgers baada ya msimu wa 2013/14 na they got him sacked for being nothing but shit. didnt mention Daglish because i've never hated a legend than that prick, he was the one who got FSG switch to "SELL TO BUY" policy after wasting a lot of money to stooges like Caroll/henderson/Downing/Charlie Adam etc.

i have bashed Klopp numerous times, but now i'll be behind him till summer, there will be a lot of ups and downs, but i cant do nothing but support him for now.
Remember?


He has won us the LEAGUE in December.
 
I want Dahoud/Paredes/Tolisso kwasababu ni wote hao ni gettable kama tuki-offer *bigger* offer. But ukinambia nichague kati ya hao na Naby Keita, nitakwambia niletee Naby Keita at LFC. Most Complete Midfielder in the world right now. Bright future ahead of him, its just a shame coz jamaa kuja LFC ni pipe dream.
Heard, Keita was a MOTM today?


Ahead of the curve.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom