Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Nimezisoma trashes nyingi sana kwa huyu mtu ku mponda Captain Hendo
Trash against Hendo is trash against Liverpool
Hendo is very finest Captain,matter of fact akichukua EPL mwakani atakuwa best ever to lead modern Liverpool
Anaenda kubeba kombe la dunia ngazi ya vilabu week mbili zijazo
 
Ni wewe kuangalia
Mechi ya juzi tu inaonesha
Ndo maana nikakutaka ujue majukumu ya mtu kabla hujaanza kumponda
Achana nao hao hawana lolote
Hao walianza kuwa Barca,tukwanyoa
Wakaja kwa Man City,tumewanyoa
Sasa wanaokoteza teza maneno tu ya hovyo kumponda Captain wetu!
Hendo ni mchezaji muhimu mno kwa Liverpool na mchezaji wa mechi kubwa
Waulize Spurs,waulize Man City!
Naomba wapuuze wanao mtukana Hendo wetu
 
Mkuu ni mchezaji wetu ndio tunaye lkn unampa sifa nyingi sana kuliko uwezo wake
Achana nao hao hawana lolote
Hao walianza kuwa Barca,tukwanyoa
Wakaja kwa Man City,tumewanyoa
Sasa wanaokoteza teza maneno tu ya hovyo kumponda Captain wetu!
Hendo ni mchezaji muhimu mno kwa Liverpool na mchezaji wa mechi kubwa
Waulize Spurs,waulize Man City!
Naomba wapuuze wanao mtukana Hendo wetu
 
IMG_6844.JPG
 
Salah hajachoka na wala si victim wa chochote
Tatizo ni kachoyo sana kale

Wewe jamaa una shida somewhere si bure. Na ndiyomana unatumia muda mwingi kuquote post za wenzako kuliko kupost mawazo yako mwenyewe.

Hivi hii kucritisize kila wanachopost wenzako inakusaidia nini brother???
Si kila mtu anatoa mawazo ya kwake na wewe weka ya kwako hapa? Kwani lazima upinge mawazo ya wengine?

Hebu jijengee utamaduni wa kuleta analysis zako hapa mbona tutazisoma na kuchangia au tutaraise hoja na utazijibia! Shida nini?

Brother badilika sisi washabiki wa Liverpool hatuna tabia ya kubishaana bali tuna tabia ya kujengeana hoja.

Hebu angalia post zetu mimi na Don Clericuzio alipozungumzia ubora wa Adrian! Mbona sikumpinga mawazo yake bali tulipeana challenge kwa hoja na yakaisha.

Wewe ni wa ajabu sana ingawa ni Tajiri.
 
Ni wewe kuangalia
Mechi ya juzi tu inaonesha
Ndo maana nikakutaka ujue majukumu ya mtu kabla hujaanza kumponda

Ushauri wa bure: kabla hujamquote mtu na kuponda alichokiandika, pitia profile ya mtu huyo uone posts zake juu ya topic husika.

Baada ya kuona posts, weka hoja kwa mfumo ambao unajua kabisa unaendana na caliber ya unayempinga.

MosDef ni asset namba moja humu jukwaani, mawazo yake ni sheria (that is according to me) inapokuja issue juu ya Liverpool.
 
Unajua wewe King Ngwaba fala sana , una majibu kama Lodilofa nimecheka sana aisee
Wewe jamaa una shida somewhere si bure. Na ndiyomana unatumia muda mwingi kuquote post za wenzako kuliko kupost mawazo yako mwenyewe.

Hivi hii kucritisize kila wanachopost wenzako inakusaidia nini brother???
Si kila mtu anatoa mawazo ya kwake na wewe weka ya kwako hapa? Kwani lazima upinge mawazo ya wengine?

Hebu jijengee utamaduni wa kuleta analysis zako hapa mbona tutazisoma na kuchangia au tutaraise hoja na utazijibia! Shida nini?

Brother badilika sisi washabiki wa Liverpool hatuna tabia ya kubishaana bali tuna tabia ya kujengeana hoja.

Hebu angalia post zetu mimi na Don Clericuzio alipozungumzia ubora wa Adrian! Mbona sikumpinga mawazo yake bali tulipeana challenge kwa hoja na yakaisha.

Wewe ni wa ajabu sana ingawa ni Tajiri.
 
Hizi 5 - 2 zinatosha kutupa tafsiri ya kuepo kwake au kutokuepo kwake nini tunapungukiwa

Yaliyobakia ni mbwembwe tu

Ukitaka kujua vizr usiangalie mpira, muangalie unaemponda akiwa na asipokuwa na mpira, af baadae angalia unaetaka amreplace akiwa na asipokuwa na mpira
Tatizo binadam wengi ni watu wa matukio
 
Wewe jamaa una shida somewhere si bure. Na ndiyomana unatumia muda mwingi kuquote post za wenzako kuliko kupost mawazo yako mwenyewe.

Hivi hii kucritisize kila wanachopost wenzako inakusaidia nini brother???
Si kila mtu anatoa mawazo ya kwake na wewe weka ya kwako hapa? Kwani lazima upinge mawazo ya wengine?

Hebu jijengee utamaduni wa kuleta analysis zako hapa mbona tutazisoma na kuchangia au tutaraise hoja na utazijibia! Shida nini?

Brother badilika sisi washabiki wa Liverpool hatuna tabia ya kubishaana bali tuna tabia ya kujengeana hoja.

Hebu angalia post zetu mimi na Don Clericuzio alipozungumzia ubora wa Adrian! Mbona sikumpinga mawazo yake bali tulipeana challenge kwa hoja na yakaisha.

Wewe ni wa ajabu sana ingawa ni Tajiri.

Tatizo lako hujui nafata nn humu na lazima unipinge maana kuna kitu nakipinga kutoka kwako
Binadam tuna tatizo mpja la kujiona we’re the masters of our worlds bila kujua kila mtu anajiona hivyo

Mda mwingi nakuaga bizze, na nikipita humu nataka nipate taarifa nyeti na reaction ya binadam kama shabiki wengine, ila nikiona mtu kakosea na anadhani kabisa yuko sahihi lazima niongee,
Sikatai kuna wachezaji wanaocheza vizr kuliko Hendo
Ila ili hao wachezaji wacheze vizr ni inabidi mfumo ubadirike
Na inabidi tucheze mchezo flan hv

Ndo maana kuna siku za nyuma niliona watu humu ukiwemo unashangilia kuwa tukiwa tumefungwa hendo anatolewa anaingizwa Keita( vs Man united), huu nikawa naona ni kama kutokujua unachoongelewa na kutokujijua na kuanza kusifia performance kubwa ya keita siku ile bila kujua majukumu na kwann katolewa, hii hainatofaut ya na beki akiingia akatolewa foward
Watu mnashindwa kuelewa logic ya Gem tempo na scoreline

Ni kama wale wengine wanaongea ujinga, kuwa tulikuwa tuna bahati( vs Man city), kwani wangeongeza mda ata dk 5 magoli yote yangerud na kuongeza mengine
Hii yote waga naona ni bullshit tu mtu anaongea ongea

We jamaa nishakwambia una mapenz na timu sana, myb ata kuriko wote humu, ndo maana unajiona kila utachokipost ni kama bora kuriko vya wote humu, sikatai, because your in your world na unajiona ryt kwa unavyoviexperience, ila haimaanishi kuwa ndo bora zaid ya wote

Am not very active, and i’ll not be, you do what you love, ndo maana upo humu kila siku, ila najua most of liverpool games naangalia, iwe nyumban au kwenye simu, mostly huwa naangalia, ila wengi mnachoshindwa kutofautisha ni consistence na kiwango
 
Tatizo lako hujui nafata nn humu na lazima unipinge maana kuna kitu nakipinga kutoka kwako
Binadam tuna tatizo mpja la kujiona we’re the masters of our worlds bila kujua kila mtu anajiona hivyo

Mda mwingi nakuaga bizze, na nikipita humu nataka nipate taarifa nyeti na reaction ya binadam kama shabiki wengine, ila nikiona mtu kakosea na anadhani kabisa yuko sahihi lazima niongee,
Sikatai kuna wachezaji wanaocheza vizr kuliko Hendo
Ila ili hao wachezaji wacheze vizr ni inabidi mfumo ubadirike
Na inabidi tucheze mchezo flan hv

Ndo maana kuna siku za nyuma niliona watu humu ukiwemo unashangilia kuwa tukiwa tumefungwa hendo anatolewa anaingizwa Keita( vs Man united), huu nikawa naona ni kama kutokujua unachoongelewa na kutokujijua na kuanza kusifia performance kubwa ya keita siku ile bila kujua majukumu na kwann katolewa, hii hainatofaut ya na beki akiingia akatolewa foward
Watu mnashindwa kuelewa logic ya Gem tempo na scoreline

Ni kama wale wengine wanaongea ujinga, kuwa tulikuwa tuna bahati( vs Man city), kwani wangeongeza mda ata dk 5 magoli yote yangerud na kuongeza mengine
Hii yote waga naona ni bullshit tu mtu anaongea ongea

We jamaa nishakwambia una mapenz na timu sana, myb ata kuriko wote humu, ndo maana unajiona kila utachokipost ni kama bora kuriko vya wote humu, sikatai, because your in your world na unajiona ryt kwa unavyoviexperience, ila haimaanishi kuwa ndo bora zaid ya wote

Am not very active, and i’ll not be, you do what you love, ndo maana upo humu kila siku, ila najua most of liverpool games naangalia, iwe nyumban au kwenye simu, mostly huwa naangalia, ila wengi mnachoshindwa kutofautisha ni consistence na kiwango

Mimi sina tatizo na Mtu yeyote humu kimtazamo na kifacts.

Ila nakuaga na matatizo na wale ambao wanasubiri Mtu apost kitu then wanarukia kumpinga.

Unaweza ukachallenge mawazo ya Mtu bila ya Kumpinga! Au haiwezekani?

Kwa mfano umeona mtu kapost kitu hakiendani na Mtazamo wako! Basi wewe usikimbilie kumquote kwa kumpinga, Bali andaa post yako then ipost hapa! Sisi tutaisoma na kuangalia facts kama Luna challenge ndani Yake si tutakuquote!!! Hapo utakuwa umewajibu watu wengi kwa wakati mmoja.

Lakini wewe kiongozi hupost kitu bali unasubiri Mtu ameandika maoni yake then unakuja kumpinga! Sio fair brother.

Halafu ukisema mimi najiona kiwa kila ninachopost najiona nipo sawa basi unakusea.

Hebu pitia post zangu humu au uliza wazoefu humu wakwambie sifa zangu.

Kwanza mimi ni katika watu ambae Mara chache sana humu tunaquote post za watu.

Mara nyingi huwa naandika post zangu mwenyewe kwasababu naamini Kuwa kila Mtu ana haki ya kuchangia humu.
 
Ushauri wa bure: kabla hujamquote mtu na kuponda alichokiandika, pitia profile ya mtu huyo uone posts zake juu ya topic husika.

Baada ya kuona posts, weka hoja kwa mfumo ambao unajua kabisa unaendana na caliber ya unayempinga.

MosDef ni asset namba moja humu jukwaani, mawazo yake ni sheria (that is according to me) inapokuja issue juu ya Liverpool.

Aisee! Yani mimi mwenyewe humu ninapoona post za Mtaalamu MosDef ninaishia kusoma tu na kulike!

Manake nikisema nimquote najiuliza sijui hata nianzie wapi!!!
 
Aisee! Yani mimi mwenyewe humu ninapoona post za Mtaalamu MosDef ninaishia kusoma tu na kulike!

Manake nikisema nimquote najiuliza sijui hata nianzie wapi!!!

Yaani anaweza kuandika kitu ambacho ninatofautiana naye, shida ikawa jinsi gani naunda hoja, supporting evidences, technical analysis na mengine kibao. Mwisho wa siku nakuwa mpole.

Man Utd ajitahidi atoe draw, ingawa ni kitu cha ajabu kutokea.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom