Licha ya kushinda naona Bora aingie Jones kuliko Keita...Safi keita ila aache kuogopa injury Kama ipo ipo tu.
#YNWA
Oooh Hendo what a pass...
Thanks chambo
Licha ya kushinda naona Bora aingie Jones kuliko Keita...
Mmmh mkuu Jones kwenye hii game !? ...sio rahisi ..keita kidogo hana match fitness..ila ni bora kuliko mjaribisha huyo dogo kwa leo ..still game ngumu hiiLicha ya kushinda naona Bora aingie Jones kuliko Keita...
Licha ya kushinda naona Bora aingie Jones kuliko Keita...
Licha ya kushinda naona Bora aingie Jones kuliko Keita...
hahahhahahahahaha hahahga jajahh hahha daaaah we jamaa bhana majibu yako nimejikuta nacheka tuKiongozi badilisha Channel mechi tunayoiangalia sisi ni ya Liverpool ambapo kuna Keita tunayemjua sisi na wale sio Keita huyo unayemuangalia wewe wa AS Vita Club ya Congo.
Extreme hateLicha ya kushinda naona Bora aingie Jones kuliko Keita...
Nadhani a goal and assist imemuuma Sana keita haterKiongozi badilisha Channel mechi tunayoiangalia sisi ni ya Liverpool ambapo kuna Keita tunayemjua sisi na wale sio Keita huyo unayemuangalia wewe wa AS Vita Club ya Congo.