Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Rudi shule tajiri, and this time kajifunze kuelimika na sio madesa.
Ndo maana nasema tunatofautiana

Kwangu mimi mtu ata awe na elimu au cheo kipi, kama sikubaliani nae ni sikubaliani nae tu
Ata kama angekuwa kashakuwa kocha wa liverpool, siwez kuwa zezeta nikubali chochote atachosema, nawe pia inabidi ujifunze kuwaza wewe kama ww na usidanganywe na cheo,
Since niko Alpha High School form 5&6, nilikuwa napishana na mwalim wangu wa physics nyia za kufanya maswali japo majibu yalikuwa yaleyale, kilichokuwa kinamake sence kwangu kwake kilikuwa hakimake sence, na kigezo chake ni kuwa njia yangu ilikuwa rahisi sana na marking scheme yake haioneshi mgawanyo wa marks kama nilivyofanya, ila sometyms nikisingizia iyo njia nimeiona kwenye kitabu au nimefundishwa na prof anakuwa tayr kunisikiliza japo ni njia niliotunga

All in all, what makes sense to you wont make sence to others unless you open your mind, na sie kuwa mwenye profile kubwa hakosei
 
Ndo maana nasema tunatofautiana

Kwangu mimi mtu ata awe na elimu au cheo kipi, kama sikubaliani nae ni sikubaliani nae tu
Ata kama angekuwa kashakuwa kocha wa liverpool, siwez kuwa zezeta nikubali chochote atachosema, nawe pia inabidi ujifunze kuwaza wewe kama ww na usidanganywe na cheo,
Since niko Alpha High School form 5&6, nilikuwa napishana na mwalim wangu wa physics nyia za kufanya maswali japo majibu yalikuwa yaleyale, kilichokuwa kinamake sence kwangu kwake kilikuwa hakimake sence, na kigezo chake ni kuwa njia yangu ilikuwa rahisi sana na marking scheme yake haioneshi mgawanyo wa marks kama nilivyofanya, ila sometyms nikisingizia iyo njia nimeiona kwenye kitabu au nimefundishwa na prof anakuwa tayr kunisikiliza japo ni njia niliotunga

All in all, what makes sense to you wont make sence to others unless you open your mind, na sie kuwa mwenye profile kubwa hakosei

Ooh kumbe amesema form 6?

Ndiyo maana unajua vitu, mimi form 2 tu, sitaweza
 
December

Wednesday 4
Liveepool 5 - 2 Everton

Saturday 7
Bournemouth 0 - 3 Liverpool

Saturday 14
Liverpool – Watford

Saturday 21
West Ham United - Liverpool (Postponed)

Thursday 26
Leicester City v/s Liverpool

Saturday 28
Liverpool – Wolverhampton Wanderers
 
December

Wednesday 4
Liveepool 5 - 2 Everton

Saturday 7
Bournemouth 0 - 3 Liverpool

Saturday 14
Liverpool – Watford

Saturday 21
West Ham United - Liverpool (Postponed)

Thursday 26
Leicester City v/s Liverpool

Saturday 28
Liverpool – Wolverhampton Wanderers

Hapo ninamuhofia Leicester City tu coz yupo On fire but Nitakuwa na Mentality ya Draw coz kuwafunga King Power kuna ugumu wake.
 
Hapo ninamuhofia Leicester City tu coz yupo On fire but Nitakuwa na Mentality ya Draw coz kuwafunga King Power kuna ugumu wake.

Kwa jinsi tunavyojua kutafuta magoli, timu kama Leicester lazima ife.

Wasiwasi tu ni sisi kushindwa kuwazuia, hivyo na wao watapata goli (there will be no clean sheet). Jamaa wanakimbiza balaa.
 
I know, watu wanaweza kuona kuwa, i'm deluded or a bit carried away, but the truth is, The league is already a wrap.

Kama City wangekuwa good kama last season, then hii 14 points gap ingekuwa ni nothing, especially mapema kama hii ya December, but Man city ya msimu huu ipo so out of shape, injury ya mapema kabisa mwanzo wa msimu ya Laporte, ilitibua mipango yote ya Pep, na kikubwa ambacho kimeharibika at City ni Fernandinho kutoka eneo la DM kwenye upande wa CB, hivyo kuacha a big gap katikati, leaving Rodri ambae bado ana-adopt na speed ya EPL, watu wanaweza sema Pep spent a lot of money kwenye eneo la defense na ameshindwa kufundisha CBs wake ku-cope na kutokuwepo kwa Laporte, well thats wrong, Laporte is 2nd best CB kwenye EPL baada ya VVD, hata sisi (LFC), angeumia VVD mwanzo wa msimu tu, tusingekuwa hapa tulipo, because hata uwe kocha bora vipi huwezi kufundisha shit players kuwa good players. y'all remember tulivyokuwa tuna-ship in goals for fun kabla ya VVD? mpaka "smart" reds wakawa wanasema Klopp hawezi fundisha defense? & personally i wanted him to hire a defensive coach? lol kumbe tatizo lilikuwa ni shit CBs tuliokuwa nao (Lovren & Klavan and even Lucas at times), tatizo la Matip lilikuwa ni fitness tu, then baada ya kumnunua VVD kila kitu kikabadilika in a very short while.

So, tatizo siyo ku-coach shit players, tatizo ni kuwa na world class players kwenye team, Pep ana Stones na Otamendi as fit CBs, yet he's forced kuchezesha a DM kwenye hilo eneo kwasababu hawaamini CBs wake, ni kama vile VVD aumie afu Klopp amtoe Faby kwenye eneo la DM na kum-partner Lovren, ni lazima team ipoteane.

and, now they've lost Aguero too, make no mistake, angekuwepo leo, game isingeisha 2-1, he's that good.

On paper, City bado wana bigger squad than us, but we're so good as a TEAM now, especially kwa kikosi kidogo tulichonacho, na ubovu wa City msimu huu, umetupa ahueni kubwa sana hata ya kufanya rotation now, there is noway City will catch us now, No fucking way, hata kama tutakuwa na bad january, sidhani kama tutapoteza games zaidi ya 2, na pia sidhani kama City hawatapoteza game(s) hapa katikati, ndiyo kuna kipindi cha nyuma niliandika kuwa tunatakiwa kufika xmas/new year tukiwa na gap ya 15 points dhidi ya City, and to be honest, 14 points are just more than enough.

..and, naona Pep anaweza akaegemea zaidi kwenye CL, signings zozote watakazofanya January, zitakuwa ni kwaajili ya CL, because kwa league itakuwa ni too late, kama mpaka january points-gap ingekuwa ni 8-9 points, hapo SHIDA ingekuwepo, but kwa hizi 14 points, na wachezaji pia watakuwa washakata tamaa now, 14 points ni huge gap, considering we've got 2-3 easy games mpaka kufikia game ya Leicester then Spurs (ambapo nadhan kati ya hizi games, kuna moja tuta-drop points), but it wont hurt, as the gap is already bigger now, & City are not that good, this season.

And, for those, who are worried about Leicester, dont embarrass yourselves.

Since game ya 10 sikuona kama city atakuwa mshindani wetu, nanikasema mpaka round ya kwanza inaisha tutawapita city 15+ na inaenda kuwa hivyo

But foxes, man they will challenge us
 
Ed, tangu aanze kuangalia Game of thrones, ndiyo kaacha kabisa kutupia zile after-match pictures zake za moto moto. hahaha!


Game of Thrones, best Tv series in history?

i liked, Breaking Bad na Lost pia..

Then kuna Tv series moja ya S.Korea inaitwa Secret forest, Aisee, y'all need to watch it, ni ya moto.

Hahahha, man I'll be at my best in January tuombe uzima
Sasa hivi our brother Ladder ndo the best kwa mapicha picha, am thinking the way to overtake him

GOT to me NO

Kuna moja inakuja January inaitwa Messiah
 
Ndo maana nasema tunatofautiana

Kwangu mimi mtu ata awe na elimu au cheo kipi, kama sikubaliani nae ni sikubaliani nae tu
Ata kama angekuwa kashakuwa kocha wa liverpool, siwez kuwa zezeta nikubali chochote atachosema, nawe pia inabidi ujifunze kuwaza wewe kama ww na usidanganywe na cheo,
Since niko Alpha High School form 5&6, nilikuwa napishana na mwalim wangu wa physics nyia za kufanya maswali japo majibu yalikuwa yaleyale, kilichokuwa kinamake sence kwangu kwake kilikuwa hakimake sence, na kigezo chake ni kuwa njia yangu ilikuwa rahisi sana na marking scheme yake haioneshi mgawanyo wa marks kama nilivyofanya, ila sometyms nikisingizia iyo njia nimeiona kwenye kitabu au nimefundishwa na prof anakuwa tayr kunisikiliza japo ni njia niliotunga

All in all, what makes sense to you wont make sence to others unless you open your mind, na sie kuwa mwenye profile kubwa hakosei

Tajiri kumbe umepiga mavitu ya physics
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom