Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
I know in this threadNaona jiwe la gizani limekugusa. Hamna sehemu ambayo jamaa amesema kwamba timu isifiwe tu, bali ameongelea 'pumba' - Kuongea vitu ambavyo havina mantiki. Kukosoa haimaanishi kusema pumba, lah! Bali unachoongea basi kiwe na mantiki na si tu kubwabwaja maana una simu na bundle.
Ukisifia liverpool -hiyo point inamantiki kama inavosema
But if you go against liverpool -hiyo point inakuwa pumba






