My friend Adrian is back.
Jamaa namwelewa sana akiwa golini.
Forwards zetu inabidi zijitafakari, game 2 mfululizo magoli yanatoka kwa beki.
Naheshimu opinion yako
Najitahidi kuhamia liverpool mazima ila najikuta bado naifatitilia timu niliyoikacha na naionea huruma inavyopigwa.
Yanini kujitesa? Timu sio kabila hamia Liverpool
Hahaha, sasa hivi tunapokea wageni wengi sana.
Sema hawa hawachelewi kurudi walikotoka mambo yakibana.
Kama ule uzi wa Man City sasa hivi wamerudi kwao.
Humu mulikuwa na Vijinyuzi vya AC Milan, Juventus, Spurs na PSG vyote vimekufa, Sasahivi na haka kajinyuzi uchwara cha Man City kinaendea kufa.
December the loaded season start with vs The Blue end...Tumeimaliza November kwa 100% Win
Saturday 2
Aston Villa 1 - 2 Liverpool
Sanday 10
Liverpool 3 – 1 Manchester City
Saturday 23
Crystal Palace 1 - 2 Liverpool
Saturday 30
Liverpool 2 – 1 Brighton and Hove Albion
Class is permanent form is temporary...Humu mulikuwa na Vijinyuzi vya AC Milan, Juventus, Spurs na PSG vyote vimekufa, Sasahivi na haka kajinyuzi uchwara cha Man City kinaendea kufa.
Aiseeh wewe hizi bangi sijui kwanini huachi ????Hahaha Gerrard moja ya kiungo mzembe mzembe iv kuwahi kutokea ..ukiachana na iyo ya Demba Ba kuna ile alimpasia King Didier ikawa bonge la assist aise ...![]()
Liverpool alikufa 2-0
Steve G alibebwa na akina Babel, Alonso, Glen Johnson, Carragher Jamie...bila wao hamuna kitu mule..![]()
December naiona ngumu kwetu kwa Bournemouth na Leicester City! Ingawa Wolves nao siyo wabaya sana! Derby nayo sijui wachovu watafufukia kwetu?Sasa tunaingia December
December
Wednesday 4
Liverpool – Everton
Saturday 7
Bournemouth - Liverpool
Saturday 14
Liverpool – Watford
Saturday 21
West Ham United - Liverpool (Postponed)
Thursday 26
Leicester City - Liverpool
Saturday 28
Liverpool – Wolverhampton Wanderers
Sikuhizi kumeibuka washabiki wa kiajabuajabu wanazunguka kila jukwaa kuandika ujinga tu.
Wao huwaoni kuandika kitu ambacho kinamake sense bali ni pumba tu.
Even some LFC fanboys wanaranda Nyuzi nyengine kuandika Pumba tu jambo ambalo sio utamaduni wa Kopites.
Kabla ya this Awamu (Magufuli era) sikuwahi kuwaona Kopites waliotutangulia Kuwa na Tabia ya kurabdaranda nyuzi za majirani kuandika Pumba.
But kwenye this Magufuli era wamekuwa wakisambaza huzi Pumba.
HIZO DIGRII 4 ZAKO MZEE NDIO UNATAKA UKIMBIZE WANA LIVERPOOL WENZIO WA STD7A!!!!!?
umefika mbali sana.
...maana hii imekuwa too much kwa Mh. Rais,haiwezekani kipindi chake ndio kihusishwe na uwepo wa watu wa ajabuajabu,.
Halafu mtu umazungumza tu bila tafiti....mzee kaingia 2015 wewe hapa JF umeingia 2016,Je hao watu wa kabla ya MAGU ERA uliwaonea wapi?(nahisi ungekuwepo kipindi cha kina Wacha1 ungetia mtu makofi maana mfano ndio umecomment kama hivi mwenzio anacheka page nzima mpaka unahisi kero.....)
Alafu pia sio kila mtu ni shabiki?
Kuna...WASHANGILIAJI,WAPENZI na MASHABIKI.
Watu hatuwezi kufanana daima ndugu....we chunguza hata katika familia yako nyumbani.
Mungu fundi na ndio maana kaweka kitu UVUMILIVU....
WEWE WAVUMILIE TU MKUU.
Naiona safu ya ushambuliaji kama ina uchovu sana, ingawa midfield na beki zikifanya majukumu yao.December naiona ngumu kwetu kwa Bournemouth na Leicester City! Ingawa Wolves nao siyo wabaya sana! Derby nayo sijui wachovu watafufukia kwetu?
Naona jiwe la gizani limekugusa. Hamna sehemu ambayo jamaa amesema kwamba timu isifiwe tu, bali ameongelea 'pumba' - Kuongea vitu ambavyo havina mantiki. Kukosoa haimaanishi kusema pumba, lah! Bali unachoongea basi kiwe na mantiki na si tu kubwabwaja maana una simu na bundle.Mkuu this guy nataman kuona hata sura yake walah,
Anataka kuleta mipaka kwenye vitu ambavyo ni hamna, anadhan anavoogonza familia yake ndio anaweza kuongoza jf,
This is stupidity, kutaka kusifiwa sifiwa tu kila kitu,
Hata kama liverpool akiwin title bila kupoteza any game with 100+point sio kwamba dunia nzima tutakuja humu kuwasifia, hili anatakiwa kulijua
Kweli kabisa mkuu, yaani Salah, Mane inafika mahali wanatoka bila kutikisa wavu? Kweli wamechoka!Naiona safu ya ushambuliaji kama ina uchovu sana, ingawa midfield na beki zikifanya majukumu yao.
good thing team bado inashinda ingawa ni ushindi finyu game baada ya game, december itakuwa ngumu sana na game za kucheza ni nyingi.
chamuhimu ni forwards kurudi kwenye fomu mapema na ku avoid unnecessary injuries...