Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwahiyo ni zambi kutoa maon yanayoihusu liver?

Au mlitaka kila mtu akija humu asifie tu

Shwain zenu
Tumbafu kabisa

Unafata nn kwenye jukwaa la mashabiki wa Liverpool?

Naona utakimbia autaonekana mpaka next week maana unaona aibu,Liverpool kashinda ulikuwa unasema Liverpool anafungwa.
 
IMG_6743.JPG
 
1. 3 important and must points.

2.tumepungukiwa faby na Allison atleast allison 3 games out faby may be the rest of dec.

3.Tulizidiwa kutokana na aina mid zetu na aina ya team pia tuliyocheza nayo.
HENDO & GINI hauwezi kuipata ile creativity as mid has to offer. Ni aina ya mfumo klopp anaoutaka tutumie pembeni kuliko kati ndio sababu Robbo na TAA tunawafurahia vipaji vyao. Ila kwa sasa tusitegemee ku press high.

4.Kwa mbaali leo JK nilimuona kama amekubaliana na hali baada ya RED hakua na ile passion ya siku zote alipoa sana zile celebration sikuziona.
Nimefikiria huenda injury ya faby imemuuza kimfumo na anawaza atakabiliana nalo vipi.

5.Win is a win
ingekua tunamchezo mbaya na tunafungwa ingekua ishu nyingine thanks to God tucheze vizur au vibaya tunashinda.
 
My friend Adrian is back.

Jamaa namwelewa sana akiwa golini.

Forwards zetu inabidi zijitafakari, game 2 mfululizo magoli yanatoka kwa beki.

Mkuu ni kweli unamwelewa?
Ule udakaji wake kama atakutana na Foward mviziaji sikuzote atamzawadia magoli.

Coz jamaa hajui kuficha mipira bali kila shuti anayopigiwa anaishia kutema tu.

Na ile Free Kick akiyofungwa huwa ninaiona Bongo tu kipa kupanga Ukuta huku akiwa kaegemea Posi ya upande mmoja.
 
Uzembe wa alie tolewa hatuoni ilahuyu anaelipwa kiduchu tunaina dah ama kweli bahati ni muhimu kwenye maisha
Hamna naona bado Adrian ana zali zaidi msimu huu you never know anaweza akaondoka na clean sheets game zote tatu ..ila huu mwez wachezaji wamechoka sana kikubwa points 3 muhimu hata ucheze vibaya maana game unaweza kuona nyepesi kwenye ratiba lakini uwanjani ndo unaona ugumu wake..ukizingatia mwezi wa 12 tunaweza tukakipiga game 8-9 ndani ya mwezi hapo tuombe majeruhi wasiongezeke tu....ni balaa.(ila ni vizuri kwa sisi tunaopenda kila siku kuwaona the reds wako uwanjani wakikipiga maana ndo starehe yetu)..
 
Mkuu ni kweli unamwelewa?
Ule udakaji wake kama atakutana na Foward mviziaji sikuzote atamzawadia magoli.

Coz jamaa hajui kuficha mipira bali kila shuti anayopigiwa anaishia kutema tu.

Na ile Free Kick akiyofungwa huwa ninaiona Bongo tu kipa kupanga Ukuta huku akiwa kaegemea Posi ya upande mmoja.

Lile kosa ni la kushtukizwa, golikipa yeyote anafungwa.

Hatujapoteza game kwenye ligi ambayo Adrian amedaka, na kama sijakosea ana clean sheet pia.

Adrian no golikipa mzuri kwa kikosi chetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom