Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Kwahiyo ni zambi kutoa maon yanayoihusu liver?
Au mlitaka kila mtu akija humu asifie tu
Shwain zenu
Tumbafu kabisa
Unafata nn kwenye jukwaa la mashabiki wa Liverpool?
Naona utakimbia autaonekana mpaka next week maana unaona aibu,Liverpool kashinda ulikuwa unasema Liverpool anafungwa.
you never know anaweza akaondoka na clean sheets game zote tatu ..ila huu mwez wachezaji wamechoka sana kikubwa points 3 muhimu hata ucheze vibaya maana game unaweza kuona nyepesi kwenye ratiba lakini uwanjani ndo unaona ugumu wake..ukizingatia mwezi wa 12 tunaweza tukakipiga game 8-9 ndani ya mwezi hapo tuombe majeruhi wasiongezeke tu....ni balaa.(ila ni vizuri kwa sisi tunaopenda kila siku kuwaona the reds wako uwanjani wakikipiga maana ndo starehe yetu)..