Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Gerrard alikuwa mtu na nusu, ni furaha kumtizama uwanjani, mpambanaji, muhamasishaji. Nilijisikia vibaya mnoo siku aliyoteleza demba ba anaenda kuweka msumali.
Duuh ile slip bana ni gundu la ajabu sana...

Ile slip na ile draw ya Crystal Palace zilitunyima ubingwa wa EPL msimu ule..

Hata hivyo Steve G Kwa kweli akiwa Captain tena akicheza na kikosi cha wachezaji Wa Kawaida mno walipambana mno kutupa burudani uwanjani hakika Steve G atabaki kua moja Wa ma Captain bora kabisa kuwai kuichezea the Red Army...

YNWA
 
Ukisoma makala aliyoielezea UCL final 2005 unaona huyu ni binadamu na nusu.
Anakuambia HT kwenye dressing room watu walikata tamaa ukiwatizama usoni (facial expression) 1.wanacheza na team inayo wachezaji wa kiwango cha dunia 2. wapo nyuma 3-0 haikua kazi rahisi.
Gerrard anasema benitez hakuzungumza chochote dressing room (ni kama aliona imeisha ) Gerrard ndiye aliongea aisee",.
Anaendelea kusema niliwaambia hivi we are Liverpool twende tuwaoneshe sisi ni Liverpool twende tukapambane kuwaonesha kops who are we",.
aise our captain fantastic Stevie G",.

Binafsi yake alikua akiwaza kukabilia na Kaka kiungo mwenye ubora wa kila namna haikua jambo jepesi kukubali akilini na mwilini wanaweza kurudisha magoli matatu.
.
Aaa hio UCL final hua sijawai choka kuitazama You Tube maaana ilikua done deal by Carlo kipindi cha kwanza lakini aisee walivyorudi kipindi cha pili ilikua noma sana yaaani its was epic no retreat or give up ni ku fight till the end... Kipindi hicho Ac Milan was the best team around challenging for top honours year in year out but us the under dogs defied to let's go nor succumb to yes its over even without trying...

I salute that kikosi for job well done..

YNWA
 
it's one of the poorest games we have played. it'll not surprise me if it ends up as a draw even a LFC defeat.
Mkuu huyu kocha Wa BHA usimchukulie powa kazi yake wenyewe wameikumbali kama sikosei amepewa mkataba mpya Wa mpaka 2024..

That means there is progress under him...

Grand the worst was tamed before we ended with a draw or worse...
 
IMG_6746.JPG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom