Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6684.JPG
 
Mkuu hebu nisaidie Kwani wew ni fan wa timu gani pale England ili nije na suluhisho
Kwahiyo kwa mfano liverpool atacheza na hizo timu zote ili kuchukua ucl????
Hapo anaweza kukutana na timu 1 au 2 tu na mechi nyingine akakutana na vilaza kama Genk,

Jamaa kauliza swali umejijaza kama mlevi,sasa kama bora kukutana na Genk kuliko wolvers kwanini unadai UCL ni ngumu kuliko EPL na kila mwaka vilaza lazima wawepo huko UCL????

tatizo lenu hapa hampo kiuhalisia bali mahaba....
 
Liver kila mechi var ziko upande wao. Haijalishi kwenye kuwapa uwezo wa kufunga au kuwanyima wapinzani wasifunge eidha kukataa goli lao au kuwanyima penati.
Maagizo ya malkia hayo.
Malkia sio shabiki wa majogoo..

Hii VAR ni msumeno ndugu Kwa sasa upepo Wa ushindi upo kwetu hivyo wapinzani watasema mengi..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom