Bengalisis
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 1,851
- 2,771
Huyu jamaa nafikiri liverpool tuanze kubadili mfumo sasa scheme10 firmino 9 Salah 7 na mane 11, Keita 8 na Fabby 6, nazani timu itakuwa inafunga goli nyingi sana kwa mechi
WIJNALDUM
WIJNALDUM

That's why Madrid and Barcelona walimtaka tukawabania













Naunga hoja mkono sioni timu yenye ubavu wa kutusumbua kule nasemaje sioni kabisa labda ile inter kidoooogo maan naona wanateamwork nzuri kiasi ukilinganisha na barca,real ,juve+ vibogoyo wengineamini nawaambien liver huu msimu tunachukua UEFA tena
Brother MASAMILA anakwambia GINI ni mchezaji mbovu hafai kuepo Liverpool
Mkuu mpaka sasa defence ya Pep ni pasua kichwa mpaka kufika Jan itakua Isham cost Sana tu...
Kuumia Kwa Laporte na kutosajili beki mpya Wa kati baada ya Vin kuondoka kimewa cost Sana Citizens...
Kwa sasa watachapika tu labda na Washindani wao wapoteane