Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mkuu naona umekomaa na GINI?

Elewa hivi! Sio kwamba sisi hapa tunamuona GINI ni Messi! But kwenye kikosi chetu kuna baadhi ya Positions tuna mchezaji mmoja mmoja tu! Kwa mfano:-

LB tuna Robbo pekee
RB tuna TAA pekee
LW tuna Mane pekee
RW tuna Salah pekee
DM tuna Fabinho pekee
CM tuna GINI pekee

Sehmu tulizokuwa tuna angalau mbadala ni:-

AM tuna Hendo na OX
CB tuna VVD, MATIP, GOMEZ na LOVREN.
FW tuna Bobby na Origi
GK tuna Alison na Adrian

Kwanini sikuwaeka hawa Lallana, Keita, Xhaqiri na Milner?
Lallana simuhesabu kuwa ni mchezaji
Keita ni injury prone kwahiyo kabla ya kupona vizuri anarudi tena kwenye injury! So, ni vigumu kurejea kwenye ubora wake.
Xhaqiri hayupo kwenye mipango ya Klopp
Milner kutokana na umri wake 34yrs ni Backup player tu.

Sasa Mkuu katika positions hizo zenye Mchezaji mmoja tu hata ulalamike basi Klopp hana la kufanya ndiyomana humu wengi wetu tunamlilia Hendo na Lovren tu kwasababu Mbadala wa hawa yupo.

Hendo vs OX
Lovren vs Matip and Gomez

Lakini GINI kuanza ni Lazima kwa sababu hana mbadala.
Tuliyemtegemea kucheza position ya GINI ni Keita tu, Lakini kwasasa kumchezesha Keita ni kujirisk kwa baada ya mechi 2 tu tutamrudisha Wodini. Tusubiri apone kwanza.

Ni sawa na wanaomponda Salah! Hata aharibu kiasi gani bado ataendelea kucheza tu coz hakuna mbadala wa kumueka benchi.

Kwahiyo kwasasa tuendelee na GINI wetu tu.
Na kwa nini Fabinho anatengeneza nafasi nyingi kuliko Gini?
 
Na kwa nini Fabinho anatengeneza nafasi nyingi kuliko Gini?

Siwezi kujibu swali lako unless uniletee stats za mlinganisho kwa wote wawili.
Kwasababu sina haki ya kuhoji au kujadili mawazo ya Mtu bali najadili stats kwani ndiyo zinazosema kweli nani anatengeneza nafasi nyingi kuliko mwenzake.

Pia zingatia kuwa uwezo wa Fabinho ni Mkubwa kuliko GINI kwa nafasi anayocheza Fabinho
 
Siwezi kujibu swali lako unless uniletee stats za mlinganisho kwa wote wawili.
Kwasababu sina haki ya kuhoji au kujadili mawazo ya Mtu bali najadili stats kwani ndiyo zinazosema kweli nani anatengeneza nafasi nyingi kuliko mwenzake.

Pia zingatia kuwa uwezo wa Fabinho ni Mkubwa kuliko GINI kwa nafasi anayocheza Fabinho
Katika hii comment yako Hapo mwishoni umeshaconclude mwenyewe tayari kuwa Gini uwezo mdogo
 
Hiyo hiyo pace ilitengeneza goli,
Kwavile umetumia neno 'inaweza' basi hakuna shida coz umeongelea neno only possibility na sio guarantee

Maneno yatakua hayohayo tu inaweza, kama wakikutana, na blah blah nyingi tu lakini mwisho wa siku tunasonga mbele.

Hivi DJ hana pace?
 
Kwahiyo ile header unazani kepa angedaka?
Ile kusema ukweli Kepa angechonoa japo kwa mbinde sana ..

Ila Allison kiwango chake kimeshuka sana huu ni ukweli ..akikutana na Kijana kama Pulisic mwenye njaa ya magoli ..achana na uyo Tammy ..umeona leo kitu tumemfanya CP?? hahaha hii Liverpool naionea huruma sana ...tena mpka desemba tutakuwa tumepishana point chache mnoo ..

Bisha
 
Kipa anaefungwa goli moja kwa mechi kashuka kiwango ila anaepigwa nne kiwango hakijashuka
Sasa kepa magoli anayofungwa unadhani Allison ndo atabaki salama? Angalia lile goli la Zuyech wa Ajax ..kipa gani angedaka pale ..

Kepa clean sheet 3
Allison clean sheet 0

Kila la kheri Chelsea
 
Ukitaka kuujua utani wa Ollachuga mtazame akidundwa tu, Atapita nyuzi zote kutangaza kuwa hakuna wa kuifunga Timu iliyomdunda yeye!
Lakini chakushangaza kapigwa 4 na Manure, Akapigwa tena 2 na Manure lakini hakuwahi kutangaza kuwa hakuna wa Kumfunga Manure bali hata Manure acheze na Biashara United ataishia kusema Manure anafungwa.
Hahaha hii Man u sio timu ya kuipa ushindi kabisa ..leo wako moto kesho wako baridi ...ni bora wachague moja ..kuwa moto kama Chelsea au kuwa baridi kama Arsenal ya ndugu yangu Duly Jr ..najua uko alipo anajilaumu kuwa fans wa arsenal
 
Sasa kepa magoli anayofungwa unadhani Allison ndo atabaki salama? Angalia lile goli la Zuyech wa Ajax ..kipa gani angedaka pale ..

Kepa clean sheet 3
Allison clean sheet 0

Kila la kheri Chelsea
Ndio maana tulikupiga darajani wewe, hivi nyie mnaoliwa na man u pande zote mtamtisha nani?
 
ili man city aendeleze mbio za kusaka ubingwa ni lazima kesho ampige jogoo pale pale unfield unless otherwise atakuwa amejitoa kwenye mbio, kwan kuna timu kama chelsea na lecister zinakuja kwa speed ya 4g,

Najua hili pep kaliona so kesho do or die, lazima apige mtu pale unfield kwa hisan ya var +referee
 
Na ubaya wa Liverpool strength yao ni rahisi zaidi kuwa exploit na kuitumia kama advantage.

Salzburg , Napoli, Man united, na Aston Villa waliexpose weakness ya Liverpool kiasi kwamba kama wangeweka consistency performance wangeidhalilisha liverpool.

Wakikutana na timu yenye wings zenye pace kubwa inaweza kuwa disaster kwa liverpool
Walishindwa nn kuweka hiyo consistency wakatudhalilisha?
 
Ni vizuri ungeitaja Hiyo timu yenye wings zenye pace kubwa.tuijue .

Kama ingekuwa rahisi hivyo Liverpool kufungika,mpaka sasa kwenye ligi kafungwa mechi ngapi? Au wewe ndio unaona sana kuwa shinda makocha wote wa epl waliofungwa na Liverpool mpaka sasa?

Liverpool msimu uliopita kafungwa mechi 1 tu na man city pale etihad.timu zingine zimeshindwa kuchukua point 3 kwa Liverpool.

Usijidanganye liverpool wako vizuri,ndio timu iliyoruhusu magoli machache mpaka saizi kwenye epl.unafikiri ni kitu rahisi?
Inaelekea zote hazikuwa na pace mpaka kule UEFA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom