Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naamini leo Bikira itavunjwa jiji la Manchester sio zuri tulianza kuilegeza.. na leo City anaimalizia hapo Nyumbani kwenu.

Natanguliza pole nzito
 
IMG_6581.JPG
 
Mkuu hiyo mechi mimi hainipi pressure kabisa ,mechi tunashinda hiyo.

Ingekuwa etihad pale sawa ningekuwa na wasiwasi,hao wakijitahidi hapo anfield ni droo.

Man city hawako vizuri ,tuache kukalili.hii mechi ya leo ni muhimu sana sana kwa sisi kushinda,so tutacheza vizuri sana tushinde .
Mkuu nimeku quote makusudi kuna Gif flan klopp Kama anatoka uwanjani na vvd na wij halafu Kama anamuonesha guadiora uwanjani juu wanampungia mkono unaweza kuiweka humu!!? Nina uhakika na ushindi leo
 
Mkuu hiyo mechi mimi hainipi pressure kabisa ,mechi tunashinda hiyo.

Ingekuwa etihad pale sawa ningekuwa na wasiwasi,hao wakijitahidi hapo anfield ni droo.

Man city hawako vizuri ,tuache kukalili.hii mechi ya leo ni muhimu sana sana kwa sisi kushinda,so tutacheza vizuri sana tushinde .
Najua ewew ndio mkali wa hizo kazi
 
PEP is very coward When its become the matter of LFC +KLOPP
Mkuu atmosphere ya Anfield can send chills to every team and Manager out there...

Anfield sio mahala rahisi kihivyo na vile upepo Wa ushindi tunao sasa inakua kazi kweli kweli..

Anfield fortress..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom