Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Fabinho?
Ni typing error hiyo
Nilikusudia Milner - Fabinho - Henderson
Fabinho?
Leo kuna come back apa..
Kila la kheri Samatta..
Mkuu Yani mi nikimuona keita uwanjani tu nawaza mda wowote anaumia ...Kuna game sijui ilikuwa ya Barca ile alinihuzunisha sana Yani mpaka nikasema life sio fair katoka majeruh karud majeruh ... solution ni kuangalia chanzo ndo ataepuka la sivyo mi sidhani injury nazo naona Kama zinazoea watu kama sturridge/lallana/clyne walivyoanza na mainjury ndo wakapotea ..wakarud Kama wanaamza upya vile..Yaaani ndogo kipaji kipo Sana tu ishu je ataweza kukaa mbali na meza ya madaktari...
Japo kuwakalisha nchi inampa faraja kubwa sana itabidi ifike mahala aamue moja kama Matip ili kurudisha kiwango na pia kujiweka sawa na mbali na majereha...
Duh sitarajii ifike Kwa Sanogo.. .
Sterling seems his scoring 'gods' humuacha apambane mwenyewe vs Reds maana hua hanaga bahati ya kutufunga especially at Kops...Na sterling ni zaidi ya shida! Yupo on fire
Duh Kdb kumbe atakwepo ni shida...aguero anatupaniaga sijui alinyimwa fomu ya usajil alipokuwa chini huko yani sielewi....yote kwa yote sterling !!.Sterling seems his scoring 'gods' humuacha apambane mwenyewe vs Reds maana hua hanaga bahati ya kutufunga especially at Kops...
Ishu ni KDB and Aguero hao bana akikucheza the best self proclaimed CB in the world tumeumia...

Yaaani kaka Naby anatia huruma aisee nakumbuka a hata Misri ni kama alicheza akiwa hajapona vizuri mpaka anakuja kuumia alikua ameshaonyesha dalili za maumivu au kuchoka ajabu bado aliedelea kucheza mpaka pale ambapo aliumia Kiukweli...Mkuu Yani mi nikimuona keita uwanjani tu nawaza mda wowote anaumia ...Kuna game sijui ilikuwa ya Barca ile alinihuzunisha sana Yani mpaka nikasema life sio fair katoka majeruh karud majeruh ... solution ni kuangalia chanzo ndo ataepuka la sivyo mi sidhani injury nazo naona Kama zinazoea watu kama sturridge/lallana/clyne walivyoanza na mainjury ndo wakapotea ..wakarud Kama wanaamza upya vile..
Hahaha Aguero bana jamaa ni the best finisher EPL...Duh Kdb kumbe atakwepo ni shida...aguero anatupaniaga sijui alinyimwa fomu ya usajil alipokuwa chini huko yani sielewi....yote kwa yote sterling !!.![]()
Wewe unatafuta sababu uniite mbishi kama kichaka cha kuficha ukosefu wa facts
Wewe unatafuta sababu uniite mbishi kama kichaka cha kuficha ukosefu wa facts kwenye claims zako.
Sijawahi (before) kuona post yoyote yako wala ya Mtu mwengine humu iliyowahi kuyataja hayo majukumu munaosema anapewa Hendo.
Angalau ungeweka Bandiko la Pundit ambaye ni Neutral basi ningeweza kusoma japo Headline! Lakini unaniletea Article ya Brexit?????? Petre Crouch???? Never!!! Sins muda wa kupoteza kusoma Article za Brexi kwa wachezaji wao.
Swala la msingi halijajibiwa lipo palepale!
'Je ni majukumu gani hayo tunayoambiwa ni maalum anayopewa Hendo?'
Nafikiri point ya msingi ingekuwa hukubaliana na na alichokiandika crouch kwa sababu hakifanywi na hendo na siyo issue za brexit...
Nimekuelewa mkuu.
Umesahau kuwa tuliambiwa anapewa majukumu ya 'Kustabilize Timu?' Ni Stabilizer
Diiih ed ,edd n Eddy diih umenikumbusha utotoni..
Sema nini mi naona watakaonza leo ndo watakaoanza game ya city maana zote muhimu..ila leo baadhi hawataachwa wamalize dk 90 tutegemee origi kuanza ..(na ingekuwa poa ikiwa inabidi mane asimalize nguvu zote achezeshwa dk 70 apumzishwe pep kashapata kitete naye- silaha muhimu)#YNWA.

Huu mwezi kuna gemu lazima mutadrop point..Kama kawaida yako ndugu...
Hizi ramli nakupigia saluti mzee maana tangu mwezi wa Nane mpaka Leo bado upo nasi kupigwa ila lol sisi haooo tunasonga mbele...
Una moyo wa chuma kaka..
YNWA..
Mimi nakunywa Yokozuna...Mnywa Gongo kaingia


There is something about Gini vs Manciiti the boy comes alive and lively..
Oflate he is a bit off his normal game..
But his name will be the 1st name Klopp calls vs Citizens,...
As long as I don't see Hendo or Lallana am at peace but knowing Klopp I doubt Chambo will challenge to start.. He might be the wild card just like vs Ganaz or vs Villas..
Kama nilihisi mane apumzike aje acheze kidogo tu silaha yetu hii...Origi ndani...mid za kutosha ..tuenjoy soccer sas# YNWA
Leo ushindi ni wetu...Huu mwezi kuna gemu lazima mutadrop point..
Ya kwanza inaeza kuwa hii..
Hahahaha I like the Lallana one damn he better be...Sure ..... Ox better come from bench to speed up the game
Lallana at Sunday, I pray he'll be at church