Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Back at home UCL cool 3 points huku sasa tunaongoza kundi Kwa vile Naples katoa draw na Salzbag...

It's wasn't one of the greatest night of UCL probably due to Citi game in mind the boys had to control the tempo...

But who cares 3 points counted and settled on top of the group..

Next stop is Manciiti at home bring them..

YNWA

Night Kops
 
Ajax si watu wazuri aidha nyumbani au ugenini mandogo wanafaiti Sana...

Kocha Wa Ajax kafuatwa na Ulli Hoenes akawafundishe Bavarians akachomoa..

Daraja limechakazwa 4 hivi hivi
Sasa wewe Genk anakutoa jasho unashinda Mbili na Samara anakutupia moja ...Ajax ungeweza kumfunga?

Tuseme tu ukweli ..kundi lenu ni mbeleko zaidi kuliko..
 
Hahahaha na tena Ajax wamefanya hayo bila mashabiki Kwa vile mashabiki wao hawakuruhusiwa kuhudhuria mechi ya Leo..

Noma sanaaa nyumbani kukomaliwa vilee
Ajax ni kawaisa alifanya ivyo kwa Juve, Madirid ..unashinda kwake unashinda kwako tena nyingi tu ...

Zile reds usiseme walionewa.. Mtu kadaka makusudi kaonewa?kacheza rafu uko na ana njano kaonewa?
 
Sasa wewe Genk anakutoa jasho unashinda Mbili na Samara anakutupia moja ...Ajax ungeweza kumfunga?

Tuseme tu ukweli ..kundi lenu ni mbeleko zaidi kuliko..
Wewe nawe huna unalojua, unafikri wale watoto wangepangiwa timu wangepumua? Akili ya Klopp iko Jumapili! Shukuruni sana ile mbereko mlikuwa mmefia home!
 
Ajax ni kawaisa alifanya ivyo kwa Juve, Madirid ..unashinda kwake unashinda kwako tena nyingi tu ...

Zile reds usiseme walionewa.. Mtu kadaka makusudi kaonewa?kacheza rafu uko na ana njano kaonewa?
Mkuu Ollachuga Oc wewe ulitia nanga kwetu ukisema tunafungwo huku wewe mwenyewe ukipumulia mashini...

Sijasema kadi zao sio halali mkuu...

Hua nakwambia jitahidi dhidi ya Liverpool uwe na maneno ya akiba..
 
Sasa wewe Genk anakutoa jasho unashinda Mbili na Samara anakutupia moja ...Ajax ungeweza kumfunga?

Tuseme tu ukweli ..kundi lenu ni mbeleko zaidi kuliko..
Hakuna Timu inayoshiriki UCL kimeo ndugu..

Unaanza kuhamisha magoli ndugu...

Wewe pambana na hali yako wenzio tushazoea kufika fainali..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom