Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwa City ukijilinda basi kakupiga 6

Yani upange viungo wanaocheza mbele ya box lako wasioshambulia??

Nakuhakikishia Kuanzia KDB, Guandogan, Bernardo, Sterling, Aguero and c.o wote watahamia kwenye box letu kutushambulia.

Ili City uwaweze ni lazima uwakabie juu kwa kuwashambulia mwanzo mwisho! Yani uwachezee kwenye Half yao tu nje kidogo ya Box lao huku ukiingia ndani ya 18 yao mara kwa mara ili uwaforce mido za kina KDB zirudi nyuma zisiweze kutengeneza mashambulizi! Kiufupi tuwachezee kama tulivyowachezesha mwaka Juzi kwenye CL tukawapiga nje ndani.

Na Mtu wa kuwafanya hivyo basi tunahitaji kiungo kama OX ambaye anaweza kukabia juu kwa kwa kupress kwenye Half yao pamona na kuwalisha front 3.
ox ni nan
 
Big up bro......umetuwakilisha vyema.....
Screenshot_20191105-234447.jpeg
 
Jamaa waliona hawawezekaniki ikabidi memo itembee zikatolewa kadi nyekundu kama maji na penati juu,ndio wanapumua ila walishafanyiwa kitu mbaya hapohapo uwani kwao.
Hahahaha na tena Ajax wamefanya hayo bila mashabiki Kwa vile mashabiki wao hawakuruhusiwa kuhudhuria mechi ya Leo..

Noma sanaaa nyumbani kukomaliwa vilee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom