Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Middle itakayoanza leo itatoa picha nan ataanza kwenye game ya city. Yaan mtu akikaa bench leo kuna uwezekano wa mkubwa kwake kuanza game ya City with exception of fabinho
Front 3 lazima waanze vs city
Hendo ma fabinho lazima waanze
Kwa gini pale ndo may be anaweza kuanza keita au milner
Back 4 itakuwa ileile unless majeruhi yatokee.
Leo OX nadhani ataanza na Keita kati pale na fabinho
 
Middle itakayoanza leo itatoa picha nan ataanza kwenye game ya city. Yaan mtu akikaa bench leo kuna uwezekano wa mkubwa kwake kuanza game ya City with exception of fabinho

Leo Hendo atapumzishwa kwa ajili ya City!

Kwahiyo mechi ya leo haitoamua kikosi cha vs City

Game vs City Mido itakayohusika kwa 90% ni GINI - HENDO - MILNER
 
Mkuu sio kwamba baada Babu Fergie ni mourhino ndio amefanya makubwa hapo man United...makombe 3

Makombe matatu ila yote hayakuwa na competition
Ata Ueropa alikutana na mtelemko
Japo kwangu mimi naona van gal alijitaid sana
Hakuwah kufika namba sita uko
Na adi anafukuzwa alikabana namba na man city aliekuwa wa nne
Love is the destruction of duty
 
Makombe matatu ila yote hayakuwa na competition
Ata Ueropa alikutana na mtelemko
Japo kwangu mimi naona van gal alijitaid sana
Hakuwah kufika namba sita uko
Na adi anafukuzwa alikabana namba na man city aliekuwa wa nne
Love is the destruction of duty
Mkuu mourhino kafundisha 2016-2018,ndani yake kamaliza 2nd kwenye ligi na kabeba makombe hayo unasemaje hajafanya kazi kwa mafanikio an kumbuka tokea 2013 hiyo man untd haikuwahi kumaliza nafasi hiyo...
 
It'll help us a lot kuliko uwepo wa Ox ndani, city watakuja anfield wakiwa hawana cha kupoteza
Diiih ed ,edd n Eddy diih umenikumbusha utotoni..
Sema nini mi naona watakaonza leo ndo watakaoanza game ya city maana zote muhimu..ila leo baadhi hawataachwa wamalize dk 90 tutegemee origi kuanza ..(na ingekuwa poa ikiwa inabidi mane asimalize nguvu zote achezeshwa dk 70 apumzishwe pep kashapata kitete naye- silaha muhimu)#YNWA.
 
Sikuzote hapa tumeundiwa Majuku hewa ambayo anabambikiwa Hendo lakini hatutajiwi hayo majukumu bali utasikia "HENDO ANAPEWA MAJUKUMU MAALUM NA KOCHA"...

Sasa majukumu gani hayo yasiyojuilikana?? Hebu tutajieni basi tuyajue!

Majukumu yanajulikana na yanaonekana kila mechi na nilijaribu kuelezea kwenye post yako uliyouliza kuhusu kwanini ox na keita hawaanzi ila wakiingia wanaleta mabadiliko.

hapa chini nimejaribu kuweka bandiko linalojaribu kujibu swali lako pia kutoka kwa Peter Crouch,Tafadhali naomba upitie

 
Gini anachezeshwa nyuma ya Hendo i.e. katikati (CM) akisaidia kukaba zaidi kuliki kushambulia coz klopp ameshambatiza Kuwa defensive minded.

But Hendo kimkakati alipaswa Kuwa na ststs bora kuliko Gini au Mido yeyote ile ya Liverpool kwani anachezeshwa kwenye more advanced role (Namba 8) ambaye analink kati ya Gini-Fabi na Front 3.

But due to his weak football skills anashindwa kuyaelewa majukumu yake.

Nakubaliana na wewe Kuwa Gini ni average player! But hatuna replacement kwasasa kwani mbadala wake pekee aliyepo kwenye bench ni Keita ambaye pia hasomeki kwani ana miguu ya vigae.

mbadala wa Henderson pekee aliyepo kwenye bench ni OX
Gini huyu wa liver na watimu ya taifa ni watu tofauti kabisa najiuliza klop amjaribu more advanced role km anavyochezeshwa timu ya taifa
 
Mkuu kwani majukumu tofauti na kucheza mpira uwanjani ni majukumu yapi mengine mchezaji anapaswa kuwa nayo?
Majukumu yanajulikana na yanaonekana kila mechi na nilijaribu kuelezea kwenye post yako uliyouliza kuhusu kwanini ox na keita hawaanzi ila wakiingia wanaleta mabadiliko.

hapa chini nimejaribu kuweka bandiko linalojaribu kujibu swali lako pia kutoka kwa Peter Crouch,Tafadhali naomba upitie

 
Mkuu mourhino kafundisha 2016-2018,ndani yake kamaliza 2nd kwenye ligi na kabeba makombe hayo unasemaje hajafanya kazi kwa mafanikio an kumbuka tokea 2013 hiyo man untd haikuwahi kumaliza nafasi hiyo...

Kafanya makubwa kwa sabab ye ni kocha mzr
Ila expectation waliokuwa nayo kwake walitegemea makubwa sana
 
Hivi game leo inaonyeshwa supersport namba ngapi? Game ya liverpool vs Genk
 
Majukumu yanajulikana na yanaonekana kila mechi na nilijaribu kuelezea kwenye post yako uliyouliza kuhusu kwanini ox na keita hawaanzi ila wakiingia wanaleta mabadiliko.

hapa chini nimejaribu kuweka bandiko linalojaribu kujibu swali lako pia kutoka kwa Peter Crouch,Tafadhali naomba upitie


Wewe unatafuta sababu uniite mbishi kama kichaka cha kuficha ukosefu wa facts kwenye claims zako.

Sijawahi (before) kuona post yoyote yako wala ya Mtu mwengine humu iliyowahi kuyataja hayo majukumu munaosema anapewa Hendo.

Angalau ungeweka Bandiko la Pundit ambaye ni Neutral basi ningeweza kusoma japo Headline! Lakini unaniletea Article ya Brexit?????? Petre Crouch???? Never!!! Sins muda wa kupoteza kusoma Article za Brexi kwa wachezaji wao.


Swala la msingi halijajibiwa lipo palepale!

'Je ni majukumu gani hayo tunayoambiwa ni maalum anayopewa Hendo?'
 
Keita asipoumia tena sijui...anahuzunisha yani na injury zinakuwa nyingi kama yaya sanogo wa arsenal ya Wenger mwishowe atasahaulika kama Nathaniel.
Yaaani ndogo kipaji kipo Sana tu ishu je ataweza kukaa mbali na meza ya madaktari...

Japo kuwakalisha nchi inampa faraja kubwa sana itabidi ifike mahala aamue moja kama Matip ili kurudisha kiwango na pia kujiweka sawa na mbali na majereha...

Duh sitarajii ifike Kwa Sanogo.. .
 
I prefer

Gin-Milner-Faby
There is something about Gini vs Manciiti the boy comes alive and lively..

Oflate he is a bit off his normal game..

But his name will be the 1st name Klopp calls vs Citizens,...

As long as I don't see Hendo or Lallana am at peace but knowing Klopp I doubt Chambo will challenge to start.. He might be the wild card just like vs Ganaz or vs Villas..
 
It'll help us a lot kuliko uwepo wa Ox ndani, city watakuja anfield wakiwa hawana cha kupoteza

Kwa City ukijilinda basi kakupiga 6

Yani upange viungo wanaocheza mbele ya box lako wasioshambulia??

Nakuhakikishia Kuanzia KDB, Guandogan, Bernardo, Sterling, Aguero and c.o wote watahamia kwenye box letu kutushambulia.

Ili City uwaweze ni lazima uwakabie juu kwa kuwashambulia mwanzo mwisho! Yani uwachezee kwenye Half yao tu nje kidogo ya Box lao huku ukiingia ndani ya 18 yao mara kwa mara ili uwaforce mido za kina KDB zirudi nyuma zisiweze kutengeneza mashambulizi! Kiufupi tuwachezee kama tulivyowachezesha mwaka Juzi kwenye CL tukawapiga nje ndani.

Na Mtu wa kuwafanya hivyo basi tunahitaji kiungo kama OX ambaye anaweza kukabia juu kwa kwa kupress kwenye Half yao pamona na kuwalisha front 3.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom