Watery
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 2,729
- 3,498
Kila mchezaji ana part yake uwanjani. Kwahiyo mtu anataka kusema the whole 90mntz hendo hana kazi uwanjani. Kwahiyo kwamba timu yetu ni nzuri sana kiasi kwamba tunashinda na watu 10 uwanjani kila mechi?
Tena ni bora hendo kuna vitu utaviona uwanjani kuliko gini. Sema watu wana chuki sana ma hendo kiasi kwamba jata afanyeje watamponda na hawataki hata afunge goli maana atasifiwa na watu wengine.
But tupo nae mpk 2022 kloop akisepa. Nae ndo atasepa Unless aamue mwenyewe kuondoka.
Wataka kuniambia Kloop anampanga hendo b4 chambo sababu hendo ni Captain?? Plzzz Unadharau Uwezo wa Kocha. Hendo ana uzuri wake unaweza usiwe 100% but unatosha kuchangia pale inapombidi




Umenifrahisha mzee
Ila kila mtu ana part yake
Formation tunayocheza firmino ni kama CAM na striker kwa pamoja
Ko mamidle wengine ni mamidle tu


