Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Gini anachezeshwa nyuma ya Hendo i.e. katikati (CM) akisaidia kukaba zaidi kuliki kushambulia coz klopp ameshambatiza Kuwa defensive minded.

But Hendo kimkakati alipaswa Kuwa na ststs bora kuliko Gini au Mido yeyote ile ya Liverpool kwani anachezeshwa kwenye more advanced role (Namba 8) ambaye analink kati ya Gini-Fabi na Front 3.

But due to his weak football skills anashindwa kuyaelewa majukumu yake.

Nakubaliana na wewe Kuwa Gini ni average player! But hatuna replacement kwasasa kwani mbadala wake pekee aliyepo kwenye bench ni Keita ambaye pia hasomeki kwani ana miguu ya vigae.

mbadala wa Henderson pekee aliyepo kwenye bench ni OX
nafikiri wewe ndo unashindwa kuyaelewa majukumu ya hendo au unalazimisha majukumu yawe unayoyataka wewe.Nikuulize swali unasema hendo anacheza kama kuunganisha kati ya kiungo na front 3,je umeshawahi kumwona hendo yupo upande wa kushoto wa ushambuliaji? na je umemuona Gini mara ngapi upande wa kulia wa ushambuliaji???kaka wale ni proffessional players na wanapewa majukumu na kocha kwenda ku-excute kocha apendavyo ndo maana bado wanapangwa na kwa bahati nzuri tunaongoza ligi.

kwa kuongezea tu anayefanya link up play kwenye mfumo wetu ni firmino ndo anacheza between the lines,thats salah na mane huwa wanaingia ndani kuexploit gape aliloliacha bobby...mbona mpira upo wazi kabisa na kila siku tunaona hivi jaman..duh.
 
I disagree SG apewe timu just because he is a club legend but man seems the brexit media namely Echo and Mirror plus top real Reds in UK wamesha endorse this legend to take over from Klopp..

My take would be get Jurgen to sign another extension but his agent and Klopp himself seem already decided to stay on for 7 years...

Steve should be judged by what he is doing at Rangers and not the legend icon part...

I would choose Diego, Allergri or Conte over Steve any day of the week...

Hamna bro
Itaaribu jina lake na kuharibu timu
Atatujazia michezaj ya England kama yote
Ata Dalglish alikuwa kipenz cha liverpool ila aliharibu kama kocha
Kupenda timu haimaanishi utaleta mafanikio
Ni kama mourinho slivyoipenda man united ila hakuifanya la maana
 
Man sahihi kabisa...

Haha get Maddison or promote snr academy kids and abide by the rules..

Kiukweli this bams have to go if not all basi wawili au mmoja.. soo bad its not me who decides... We need to free up space

It doesnt include academy players
 
nafikiri wewe ndo unashindwa kuyaelewa majukumu ya hendo au unalazimisha majukumu yawe unayoyataka wewe.Nikuulize swali unasema hendo anacheza kama kuunganisha kati ya kiungo na front 3,je umeshawahi kumwona hendo yupo upande wa kushoto wa ushambuliaji? na je umemuona Gini mara ngapi upande wa kulia wa ushambuliaji???kaka wale ni proffessional players na wanapewa majukumu na kocha kwenda ku-excute kocha apendavyo ndo maana bado wanapangwa na kwa bahati nzuri tunaongoza ligi.

kwa kuongezea tu anayefanya link up play kwenye mfumo wetu ni firmino ndo anacheza between the lines,thats salah na mane huwa wanaingia ndani kuexploit gape aliloliacha bobby...mbona mpira upo wazi kabisa na kila siku tunaona hivi jaman..duh.

We ndo unajua sasa
Tatizo sisi mashabiki tunakuwa tunataka vitu ambavyo havipo
 
Hamna bro
Itaaribu jina lake na kuharibu timu
Atatujazia michezaj ya England kama yote
Ata Dalglish alikuwa kipenz cha liverpool ila aliharibu kama kocha
Kupenda timu haimaanishi utaleta mafanikio
Ni kama mourinho slivyoipenda man united ila hakuifanya la maana
Kabisa ndugu sina chochote cha kumkataa na pengine anaweza kuja kuwa moja ya makocha bora Sana ila sasa historia ya hawa makocha wazawa huegemea zaidi wachezaji Wa nyumbani Sana kuliko Wa mabara mengine...

Pengine mpaka kufika hio 2022 mind set yake itakua imebadilika..

Hofu Kwangu ni pale Rangers alivyomuchukua New Cafu wakati ndogo alishachemka...

Muda utasema...

Mambo mengi yaweza kubadilika ikiwemo umiliki Wa timu kuna pesa ya waarabu wanatafuta pa kuwekeza wame target Manu au hata Chelsea japo Roman bei anayo taka haijafikiwa na sisi huwezi jua nyuma ya pazia...
 
nafikiri wewe ndo unashindwa kuyaelewa majukumu ya hendo au unalazimisha majukumu yawe unayoyataka wewe.Nikuulize swali unasema hendo anacheza kama kuunganisha kati ya kiungo na front 3,je umeshawahi kumwona hendo yupo upande wa kushoto wa ushambuliaji? na je umemuona Gini mara ngapi upande wa kulia wa ushambuliaji???kaka wale ni proffessional players na wanapewa majukumu na kocha kwenda ku-excute kocha apendavyo ndo maana bado wanapangwa na kwa bahati nzuri tunaongoza ligi.

kwa kuongezea tu anayefanya link up play kwenye mfumo wetu ni firmino ndo anacheza between the lines,thats salah na mane huwa wanaingia ndani kuexploit gape aliloliacha bobby...mbona mpira upo wazi kabisa na kila siku tunaona hivi jaman..duh.
Nakazia
 
nafikiri wewe ndo unashindwa kuyaelewa majukumu ya hendo au unalazimisha majukumu yawe unayoyataka wewe.Nikuulize swali unasema hendo anacheza kama kuunganisha kati ya kiungo na front 3,je umeshawahi kumwona hendo yupo upande wa kushoto wa ushambuliaji? na je umemuona Gini mara ngapi upande wa kulia wa ushambuliaji???kaka wale ni proffessional players na wanapewa majukumu na kocha kwenda ku-excute kocha apendavyo ndo maana bado wanapangwa na kwa bahati nzuri tunaongoza ligi.

kwa kuongezea tu anayefanya link up play kwenye mfumo wetu ni firmino ndo anacheza between the lines,thats salah na mane huwa wanaingia ndani kuexploit gape aliloliacha bobby...mbona mpira upo wazi kabisa na kila siku tunaona hivi jaman..duh.

Mimi sihukumu majukumu ya mchezaji kwasababu tu sijawahi kumuona akifanya..

Ni sawa na leo kuniambia TAA kucheza mipira ya vichwa sio jukumu lake kwasababu tu sijawahi kumuona akiruka kichwa kuokoa wala kufunga.
 
Sikuzote hapa tumeundiwa Majuku hewa ambayo anabambikiwa Hendo lakini hatutajiwi hayo majukumu bali utasikia "HENDO ANAPEWA MAJUKUMU MAALUM NA KOCHA"...

Sasa majukumu gani hayo yasiyojuilikana?? Hebu tutajieni basi tuyajue!
Unataka kuyajua kwan ww ni hendo??ww Baki kuwa shabik acha kocha na mchezaj wapeane majukumu yao
 
Kila mchezaji ana part yake uwanjani. Kwahiyo mtu anataka kusema the whole 90mntz hendo hana kazi uwanjani. Kwahiyo kwamba timu yetu ni nzuri sana kiasi kwamba tunashinda na watu 10 uwanjani kila mechi?
Tena ni bora hendo kuna vitu utaviona uwanjani kuliko gini. Sema watu wana chuki sana ma hendo kiasi kwamba jata afanyeje watamponda na hawataki hata afunge goli maana atasifiwa na watu wengine.
But tupo nae mpk 2022 kloop akisepa. Nae ndo atasepa Unless aamue mwenyewe kuondoka.
Wataka kuniambia Kloop anampanga hendo b4 chambo sababu hendo ni Captain?? Plzzz Unadharau Uwezo wa Kocha. Hendo ana uzuri wake unaweza usiwe 100% but unatosha kuchangia pale inapombidi
 
Aiseee
Kila mchezaji ana part yake uwanjani. Kwahiyo mtu anataka kusema the whole 90mntz hendo hana kazi uwanjani. Kwahiyo kwamba timu yetu ni nzuri sana kiasi kwamba tunashinda na watu 10 uwanjani kila mechi?
Tena ni bora hendo kuna vitu utaviona uwanjani kuliko gini. Sema watu wana chuki sana ma hendo kiasi kwamba jata afanyeje watamponda na hawataki hata afunge goli maana atasifiwa na watu wengine.
But tupo nae mpk 2022 kloop akisepa. Nae ndo atasepa Unless aamue mwenyewe kuondoka.
Wataka kuniambia Kloop anampanga hendo b4 chambo sababu hendo ni Captain?? Plzzz Unadharau Uwezo wa Kocha. Hendo ana uzuri wake unaweza usiwe 100% but unatosha kuchangia pale inapombidi
 
New Balance hawakati rufaa hukumu inayowaruhusu Liverpool kuingia mkataba na Nike...

Hii dili ya Nike inakuja na mpunga Wa kutosha..
 
Keita lol kazi ipo...

Liverpool midfielder Naby Keita has returned to the Guinea squad after he missed their friendly internationals against Comoros and Chile last month.

The 24-year old is among 23 players selected by coach Didier Six for the Syli Nationale's upcoming Africa Cup of Nations qualifiers against Mali and Namibia.

Guinea will face Mali in Bamako on 14 November before hosting Namibia three days later in Conakry.
 
Super Sunday
72484528_2110446059263821_2739037200879999790_n.jpeg
 
Ni nahodha mkuu kilichopo tumuombee arudi salama
Keita lol kazi ipo...

Liverpool midfielder Naby Keita has returned to the Guinea squad after he missed their friendly internationals against Comoros and Chile last month.

The 24-year old is among 23 players selected by coach Didier Six for the Syli Nationale's upcoming Africa Cup of Nations qualifiers against Mali and Namibia.

Guinea will face Mali in Bamako on 14 November before hosting Namibia three days later in Conakry.
 
Kabisa ndugu sina chochote cha kumkataa na pengine anaweza kuja kuwa moja ya makocha bora Sana ila sasa historia ya hawa makocha wazawa huegemea zaidi wachezaji Wa nyumbani Sana kuliko Wa mabara mengine...

Pengine mpaka kufika hio 2022 mind set yake itakua imebadilika..

Hofu Kwangu ni pale Rangers alivyomuchukua New Cafu wakati ndogo alishachemka...

Muda utasema...

Mambo mengi yaweza kubadilika ikiwemo umiliki Wa timu kuna pesa ya waarabu wanatafuta pa kuwekeza wame target Manu au hata Chelsea japo Roman bei anayo taka haijafikiwa na sisi huwezi jua nyuma ya pazia...

Yeah hyo ni myb, ila makocha wazuri ni wachache sana
Watu wanavyozidi muongelea SG ni kama Klop hayupo kwenye mipango, pressure waga mbaya sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom