Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Henderson hakuwahi kumzibia TAA nafasi yake hata siku moja na ndiyomana unashindwa kutoa mifano ya Matukio kwa Mechi kadhaa kuhusu Henderson Kumzibia TAA nafasi Yake pale anapopandisha Timu kushambulia.

Siku zote Mtu anayeshindwa kudifend anachokiamini huishia hivi kusema habishani kipumbavu.

Deep down nilijua tu nabishana kijinga na ww
 
Hii VAR msimu uliopita ilikuwa upande wa Spurs sana ..msimu huu naona inaenda upande wenu tu ..hongereni kwakweli..
 
Deep down nilijua tu nabishana kijinga na ww
Naona umezidiwa hoja sasa unaleta viroja.

UKIONA UMEZIDIWA HOJA KUWA MUUNGWANA KUBALI .
Nimesoma hoja zako na king ngwaba naona kabisa Wewe umezidiwa hoja kwasababu mwenzako ameleta na "reference" kabisa. Ila Wewe umeleta maneno tu.
Bila reference hapa ni kama utakuwa unapiga kelele tu.
Mpira ni sayansi
 
Deep down nilijua tu nabishana kijinga na ww

Siku zote Mtu anayeshindwa kudifend kwa hoja kile anachokiamini huishia na personal attack kama njia ya kumdhoofisha anaejenga hoja.

Kawaida ya Mwerevu hujibu hoja kwa hoja (Debete/Discussion).
Lakini muongeaji bila ya Facts ndiyo huhisi kila kitu ni Argument kwake na Ndiyomana hukimbilia kwenye kuattack Mtu badala ya kureasoning.

Sawa wewe niite Mjinga, Mpumbavu ili ujidhihirishe Kuwa Wewe ni Mtu wa aina gani.
 
Naona umezidiwa hoja sasa unaleta viroja.

UKIONA UMEZIDIWA HOJA KUWA MUUNGWANA KUBALI .
Nimesoma hoja zako na king ngwaba naona kabisa Wewe umezidiwa hoja kwasababu mwenzako ameleta na "reference" kabisa. Ila Wewe umeleta maneno tu.
Bila reference hapa ni kama utakuwa unapiga kelele tu.
Mpira ni sayansi

Na anavojiona ana akili kuliko Watu wote huwezi kuamini.

Lakini hakukosea maneno yake yeye Mwenyewe kuwa 'Anabishana Kijinga'.
 
Niko bizze mzee, wenzako tunajenga taifa, kukaa kubishana upumbavu ni bure

Ila ka hujui mostly Henderson hushika nafasi ya Trent akipanda

Siwez kubishana, nina nambo mengi
Liverpool basi ndio timu ya ajabu kiungo mchezeshaji/mshambuliaji anaacha majukumu yake eti ili awe beki msaidizi pale beki wa pembeni akipanda. Na huu utakua ufala kujaza viungo ili wafanye kazi ya mabeki, what is the meaning/responsibilities of fulbacks and midfield btw
 
Mvumilie tu mkuu, maneno yake hayaondoe ukweli kwamba Henderson na wanatakiwa kuondolewa liverpool tena bure, hatutaki fees yoyote ile
Siku zote Mtu anayeshindwa kudifend kwa hoja kile anachokiamini huishia na personal attack kama njia ya kumdhoofisha anaejenga hoja.

Kawaida ya Mwerevu hujibu hoja kwa hoja (Debete/Discussion).
Lakini muongeaji bila ya Facts ndiyo huhisi kila kitu ni Argument kwake na Ndiyomana hukimbilia kwenye kuattack Mtu badala ya kureasoning.

Sawa wewe niite Mjinga, Mpumbavu ili ujidhihirishe Kuwa Wewe ni Mtu wa aina gani.
 
Hakika mkuu, kwa soka la miaka hii na inayokuja mchezaji ambaye hawezi jihakikishia nafasi first 11 hata benchi hastaili. Ukichukulia concept hii kua bench ni back up ya aliyeanza then wa bench inabidi akaribiane na anayeanza.Kuanzia next transfer window tufagie wamatumbi wote for the better of our team
King Ngwaba kaniudhi sana, eti ka suggest Hendo abaki kama sub
 
Henderson ana bahati sana maana sio tu mchezaji wa lfc, ni kapteni, tena kanyakua CL
ndipo imani inapoimarika nami niende mlima wa moto nikabahatike.
usiseme sikukumbusha jamaaa yangu hii kisulisuli, kizuri kula nduguyo
 
Siku zote Mtu anayeshindwa kudifend kwa hoja kile anachokiamini huishia na personal attack kama njia ya kumdhoofisha anaejenga hoja.

Kawaida ya Mwerevu hujibu hoja kwa hoja (Debete/Discussion).
Lakini muongeaji bila ya Facts ndiyo huhisi kila kitu ni Argument kwake na Ndiyomana hukimbilia kwenye kuattack Mtu badala ya kureasoning.

Sawa wewe niite Mjinga, Mpumbavu ili ujidhihirishe Kuwa Wewe ni Mtu wa aina gani.

Ok
 
Chambo hahahaha rudi kundini moyo wako ni gunners mtupu ,siku huyu akirudi pale na yule mla pilipili akisepa akija mtu aina ya Nuno hahahhahaha mjiandae kufuta vumbi kiti cha mfalme
Aisee hivi mla pili pili ndio shinda ama hana majembe ya kazi ya Kutosha Sana Sana pale defence naona bado panayumba...

Kati pia panakosa kiongozi ila mwendako naona sio kumbaya...

Nyakati kama hizi bora nyie mnaoitafuta big four kuliko wale mashetani weupe kupambana kutoshuka daraja..

Be sure of what you wish...
 
Yote kwa yote yasemwe ila Henderson na Lalana wanapaswa kutolewa January bure kabisa, yaani watolewe bure kwa sasa hawa hadhi ya kucheza hata liverpool B
Mkuu mpaka sasa tumegeuka timu ya mihemko eti sikia hii Lallana anaandaliwa mkataba baada ya kufunga OT....

Sijui ni magezati tu ama ndio msimamo Wa timu...

Kama msimamo Wa klabu basi ipo shinda kuu

Rodgers aje TUMPE hata bure Lallana na Hendo, Lovren na Milner
 
Mkuu mpaka sasa tumegeuka timu ya mihemko eti sikia hii Lallana anaandaliwa mkataba baada ya kufunga OT....

Sijui ni magezati tu ama ndio msimamo Wa timu...

Kama msimamo Wa klabu basi ipo shinda kuu

Rodgers aje TUMPE hata bure Lallana na Hendo, Lovren na Milner
Milner kiraka kile. Achana nacho kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom