Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Sasahivi Watetezi wa Hendo wanatafakari tu namna ya kuandika Waraka wa Utetezi yani wanawaza waanzie wapi!

Watakuja na Baadhi ya Hoja hapa kama:-

• Ni Kiongozi uwanjani
• Ni Kiongozi kwenye dressing room
• Anastabilize Timu
• Anakaba
• Anapiga mipasi
• Ana nidhamu
• Anajituma
• Na upumbavu mwengine mwingi tu.

Utaifaa unammbeba
 
Sio kuja tu, echo wanasema pengine mid ya jana inaweza isijirudie kwani ilisababisha tukakosa clean sheet, kwakua ipo offensive mpaka inasahau kulinda, imeacha mjadala mkubwa sana mtandaoni watu wakihoji of all 15 games we got 3 clean sheet and the thing to notice is keita faby ox imecheza game moja ya jana tu why watu wanaponda
tena?
Echo ni wakala Wa ma Brexit wanajua hii mido ya jana ikiachwa wanakosa mjadala tena Kwa kuwa wao ni Hendo Hendo Mr useless boy...

Clean sheet is Lovren baby na si mwingine...
 
d3060f2f-4871-44d9-9e4e-212316091189.jpg

Tumeshinda 4-1 LKN tumewaruhusu sana wapinzani kumfikia kipa,Samatta katukosa sana na huwezi ruhusu kama zile nafasi kwa Kane ukawa salama!
Mido ya Keita,Fabihno na OX tunakuwa exposed sana sababu wote wana weza tu kulinda mpira lkn sio ukabaji
Sidhani kama tutaiona tena,lzm Wilj au Milner achanganywe pale
In Klopp,we trust

Jumapili big game na Spurs,Mungu usituache!
 
Hendo atacheza Jumapili
Hii combo ya jana hapana,katikati tunakuwa wazuri tukiwa na mpira tu!
Dakika ya 6,8,22,39,58,87 zote tumefungwa au tumekoswa mno na Samatta!
Hendo in mmoja wao anapumzika Jumapili
Huwezi ruhusu nafasi kama zile za Samatta kwa Kane ukawa salama
 
Hendo atacheza Jumapili
Hii combo ya jana hapana,katikati tunakuwa wazuri tukiwa na mpira tu!
Dakika ya 6,8,22,39,58,87 zote tumefungwa au tumekoswa mno na Samatta!
Hendo in mmoja wao anapumzika Jumapili
Huwezi ruhusu nafasi kama zile za Samatta kwa Kane ukawa salama
Ni kweli kama tulivyowadhibiti man u mpaka dakika ya 70 pale OT, maana bila hendo ndani lazima tupigwe tu. Mkuu hii mido bila hendo haiwezi kutembea kwani yeye ndo stabilizer wa timu pale kati.
LIVERPOOL BILA HENDERSON HAKUNA KITU.
NANI HAYAOGOPI MAJOGOO
NANI ANABISHA HENDO NI HATARII?
 
Sio kuja tu, echo wanasema pengine mid ya jana inaweza isijirudie kwani ilisababisha tukakosa clean sheet, kwakua ipo offensive mpaka inasahau kulinda, imeacha mjadala mkubwa sana mtandaoni watu wakihoji of all 15 games we got 3 clean sheet and the thing to notice is keita faby ox imecheza game moja ya jana tu why watu wanaponda
tena?
Ya Hendo ilitupa clean sheets ngapi msimu huu?
 
View attachment 1243412
Tumeshinda 4-1 LKN tumewaruhusu sana wapinzani kumfikia kipa,Samatta katukosa sana na huwezi ruhusu kama zile nafasi kwa Kane ukawa salama!
Mido ya Keita,Fabihno na OX tunakuwa exposed sana sababu wote wana weza tu kulinda mpira lkn sio ukabaji
Sidhani kama tutaiona tena,lzm Wilj au Milner achanganywe pale
In Klopp,we trust

Jumapili big game na Spurs,Mungu usituache!
kweli mbombo ngafu.
 
Ni kweli kama tulivyowadhibiti man u mpaka dakika ya 70 pale OT, maana bila hendo ndani lazima tupigwe tu. Mkuu hii mido bila hendo haiwezi kutembea kwani yeye ndo stabilizer wa timu pale kati.
LIVERPOOL BILA HENDERSON HAKUNA KITU.
NANI HAYAOGOPI MAJOGOO
NANI ANABISHA HENDO NI HATARII?
Hahaha nilikutana na mtu ana mwandiko kama wa malafyale liverpool nilicheka sana aisee... Hiyo jukwaa lina radha hadimu sana
 
Hendo atacheza Jumapili
Hii combo ya jana hapana,katikati tunakuwa wazuri tukiwa na mpira tu!
Dakika ya 6,8,22,39,58,87 zote tumefungwa au tumekoswa mno na Samatta!
Hendo in mmoja wao anapumzika Jumapili
Huwezi ruhusu nafasi kama zile za Samatta kwa Kane ukawa salama
Dah kaka unatisha! Huu ni zaidi ya uchambuzi unatakiwa upate tuzo ya mwaka,pia unatakiwa ukapime macho.
 
Sio kuja tu, echo wanasema pengine mid ya jana inaweza isijirudie kwani ilisababisha tukakosa clean sheet, kwakua ipo offensive mpaka inasahau kulinda, imeacha mjadala mkubwa sana mtandaoni watu wakihoji of all 15 games we got 3 clean sheet and the thing to notice is keita faby ox imecheza game moja ya jana tu why watu wanaponda
tena?

Hao Echo ni kwamba wanatafuta pa kuchomokea ili wampatie nafasi Hendo ya kurudi kikosini
 
Kweli mpira ni mpana jama. Kumbe kuna wachezaji wanapewaga roles za STABILISING. Kumbe mbali na kukaba, kupandisha na kutengeneza nafasi kuna KUSTABILIZE.

Kwenye Somo la Physics unaposoma Electronics kuna Diodes au Capacitor (Nimeshasahau) inakuwa ni Temperature Stabilzer! Nadhani ndio huyu Henderson
 
View attachment 1243412
Tumeshinda 4-1 LKN tumewaruhusu sana wapinzani kumfikia kipa,Samatta katukosa sana na huwezi ruhusu kama zile nafasi kwa Kane ukawa salama!
Mido ya Keita,Fabihno na OX tunakuwa exposed sana sababu wote wana weza tu kulinda mpira lkn sio ukabaji
Sidhani kama tutaiona tena,lzm Wilj au Milner achanganywe pale
In Klopp,we trust

Jumapili big game na Spurs,Mungu usituache!

Hendo ni muhimu sana mkuu,nashangaa Klopp anampanga alafu mtu kutoka kongowe anasema jamaa hajui

Au wewe unalionaje hili????

Hendo anastablelize timu....
 
Sasahivi Watetezi wa Hendo wanatafakari tu namna ya kuandika Waraka wa Utetezi yani wanawaza waanzie wapi!

Watakuja na Baadhi ya Hoja hapa kama:-

• Ni Kiongozi uwanjani
• Ni Kiongozi kwenye dressing room
• Anastabilize Timu
• Anakaba
• Anapiga mipasi
• Ana nidhamu
• Anajituma
• Na upumbavu mwengine mwingi tu.

Sikukataa kuwa wengine ni middle bora, ila jua tu klop ana mipango yake, na middle ya jana ya attacking minded midfielders ni rahis sana wapinzan kupata goal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom